Penzi enzi za utineja 01

Penzi enzi za utineja 01

Kazi hakuna, sasa unapoamua kushinda JF kupata burudani halafu inakatishwa katishwa
lazima mtu uwe na hasira
Ni kweli Mkuu.

Usijali wote ni wanga wa hilo sema stori Kama hizi wengine zinatuweka mjini
 
hahah umenikumbusha hilo jina la hidaya ... kuna malaya flani ivi nilimkimbiaga wakati mi nipo 1st year ye anataka Elfu hamsini mi nikatoa 1500/= tuu alitukana matusi yote akaja hadi home ..uzuri alikutana na ma sister kumbe wanajuana aiseeeee
 
Tujiajiri.

Tutafute wadada tuigize muvi za X naona uko vizuri kuandika hadithi za kuwekana wekana.

Au?
 
hahah umenikumbusha hilo jina la hidaya ... kuna malaya flani ivi nilimkimbiaga wakati mi nipo 1st year ye anataka Elfu hamsini mi nikatoa 1500/= tuu alitukana matusi yote akaja hadi home ..uzuri alikutana na ma sister kumbe wanajuana aiseeeee
Yaani unatoka na demu wangu unakuja humu kutangaza.

Haya sema mwaka gani?
 
Tujiajiri.

Tutafute wadada tuigize muvi za X naona uko vizuri kuandika hadithi za kuwekana wekana.

Au?

Utamaduni hauruhusu mkuu.

Ila mwenzio hizo stori zinanipatia msosi
 
Back
Top Bottom