Penzi enzi za utineja 01

Penzi enzi za utineja 01

Wenzako umri huo wanawaza namna ya kwenda kuishi kwenye sayari ya Mars, wewe unawaza ngono na zinaa.

Halafu eti mnapiga kelele hakuna maendeleo, maendeleo yatakuja vipi ikiwa akili zenu ziko kwenye vichwa vya mihogo mliyobeba?

 
Wenzako umri huo wanawaza namna ya kwenda kuishi kwenye sayari ya Mars, wewe unawaza ngono na zinaa.

Halafu eti mnapiga kelele hakuna maendeleo, maendeleo yatakuja vipi ikiwa akili zenu ziko kwenye vichwa vya mihogo mliyobeba?

ndio maana kuna waliosomea udaktari, uandishi wa habari, vitabu, uhandisi, n.k.

we ulidhani huko walipoendelea hawaandiki mambo kama haya?
tumia akili mkuu
 
Back
Top Bottom