mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,697
- 9,051
Aaaahh jamani hujanielewa eh yaani tukutanishe vikojoleomechi ya kirafiki tena ndio nn
Aaaahh jamani hujanielewa eh yaani tukutanishe vikojoleomechi ya kirafiki tena ndio nn
Unaandika Au umekuja kutupa taarifa then unapotea tenaJamani wakubwa naomba mniwie radhi kwa kuwaacha kwa kipindi kirefu bila kuwaaga. Nilikuwa namajukumu wakuu
Nimetia timu mzeiyaShunie, Miss Chagga, Verosa, Inis, Evelyn salt, Stunter, Tozi25, aggyjay, Dabby, HR666
Sorry Mummy. Kuna ishu zilikuwa nafuatilia.Michael lini tena
Ngoja tuone mkuuLazima mfumwe...Library?duh
Ipo hewaniMkuuuu leta vitu
Ndio kaliwa hivyo mkuu.Huyo madam nae alikuwat tineja kwel
Ujage hukuHivi story ndo imeisha au?
tukawalazimishe shilawadu wairushe ijumaa maana michael kapotea
Hii story itakua kwenye frash iliyochukuliwa na Bashite aisee
Nimerudi mkuu.Wee jamaa wamekukufisha au vipi?
Mbona kimya hadi unatutisha sasa?
Sawa MummyMichael uje
We Michael endelea na simulizi yetu bana, cinema ya bashite imenishinda.

Nimemaliza kuandika mkuuUnaandika Au umekuja kutupa taarifa then unapotea tena
(In Dj Mark voice)Nimetia timu mzeiya