Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Allah Akbar
Akikujibu unitagKwa hiyo zile habari kuwa Intelijensia ya US iligundua Iran itashambulia zile Kambi hivyo ikahamisha Askari wote na vifaa mubimu tuendelee kuziamini au tuchukulie ulikuwa Utani wa Vita?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ma shaa Allah, ni vyema sana kuwa unaanza kulielewa hilo. Basi tuseme kwa pamoja, hakuna Mungu apasae kuabudiwa ila Allah.
Huyo allah ni wako wewe wengine hata hatumtambui ni kama hadithi tu ya Juma na Roza wanasoma kitabu.Hakuna Mungu ila Allah. Kumbuka hilo.
Pengine baadae wakaokota makopo!Mimi nilijuwa wamejuruhiwa labda mpaka kuwa vilema au majeraha mwilini kumbe ni brain conscious tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Majeruhi" waliodevelop concussions na majeruhi waliokatwa mikono, miguu, masikio na kuvuja damu za kutosha hawawezi kuwa sawa. Anyway, this is none of our business na tuwaache wapambane kivyaoleo pentagoni wamesema majeruhi wamefikia 64
All is well alidanganya na kadri siku zinavyoenda watasema ukweli kuwa majeruhi walikuwa 200
Dada Faiza, si sawa kusema "moja ya shirika kubwa..."Waulize moja ya shirika kubwa la habari duniani, BBC, walioitangaza habari hiyo. Kuandika habari hiyo wao imewasaidia nini?
Au hujaisoma post namba moja mpaka mwisho? Au imekuuma?
Wacha Biblia iseme...Ubongo wa nguruwe una tatizo gani?
Hujaona kuna tafiti moyo wa Nguruwe miaka ya hivi karibuni utaanza kupandikizwa kwa wanadamu wenye matatizo ya moyo?
Nahio hio brain itawapeleka makaburiniMimi nilijuwa wamejuruhiwa labda mpaka kuwa vilema au majeraha mwilini kumbe ni brain conscious tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahio hio brain itawapeleka makaburini
Kwan mlipopata taarifa zakiintelijensia hamkukimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
This is fantastic. Hivi waislamu waga hawafi? Mbona kwenye makaburi kuna maeneo yametengwa kwa ajili yao.Hakika umesema vyema na huwa nnaomba usiku na mchana, nife nami nipo kwenye dini ya Allah, Uislam.
Vipi wewe, mfia nini?
Kwahiyo tusiabudu mali tuabudu nini??Qur'an 63:
9. Enyi mlio amini! Yasikusahaulisheni mali yenu, wala watoto wenu, kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Na wenye kufanya hayo ndio walio khasiri. 9