...baado nawaza ikiwa rais atamuona peniela itakuwaje?? Je atatoka na kisaduku mle ndani?? Je rais ataedeleza udhaifu wake kwa peniela ......na VIP kuhusu Mathew na anitha ambao wapo inje wakisubri nn kitamtokea peniela mule ndani?? .....Anna kasahambiwa ukweli wa mambo na Mathew VIP atamuani elibariki ikiwa baba yake (Dr Josh ) amemsafisha?? ....je Dr josh atakubari mpango wa ujumbe wa marekani kuhusu mgombea urais??? ....Je Mathew akimpata elibariki atamuacha hai?? ...VIP John amezikwa au baado km kazikwa anazikwa wapi tz au marekani??...VIP kuhusu kirusi Anna atajua kilipofichwa ikuru??
Nawaza mambo kwa kina na baado majibu sina .....LEGE pekee ndiyo ameshikiria hatima ya maswali haya machache kati ya mengi niliyonayo
Nawaza mambo kwa kina na baado majibu sina .....LEGE pekee ndiyo ameshikiria hatima ya maswali haya machache kati ya mengi niliyonayo
nadhani nimekujibu