Pengo: Situmiki na CCM

Pengo: Situmiki na CCM

Status
Not open for further replies.

zinyalulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
420
Reaction score
224
Salaam,
Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM

Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi

Na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA.

Nawasilisha
 
...matendo yake ndo yanamuhukumu...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mnafiki huyu yana zaidi ya kutumiwa, tunamjua na sio sisi tunaomfichua ni mungu mwenyewe, kanisa lake ni urojo analishwa anavishwa wenzie wanajenga kwa misuli wanajilisha wenyewe, wote tunajua anachokifanya sasa tumekukataa wewe na CCM wao, wakatoliki pamoja na upole, na kuonekana wamezubaa hawajali kinachoendelea around them, wamechomoka, nchi kwanza maana hata mungu hakuumba dini kabla ya ulimwengu, alitupa nchi nzuri Tanzania, tunasubiri kusilimu kwako tu ndio kilichobaki maana katiba haitakushibisha, sitashangaa nisipokuomba mibinguni maana kilemba chako na wewe mtakua mapahali unapostahihi, sikuhumumu lakini kwa hili moja tulichoona ntashangaa ukikosekana kwa unayemtumikia kwa nguvu huku maluweluwe tu
 
salaam,leo katika magazeti nimesikia pengo akisema yeye hatumiki na ccm katika maswala ya katiba.askofu pengo anasema kama yeye anatumika na ccm je wanaompinga wanatumika na ukawa?swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya tec yeye pengo na wenzie walikubaliana nini?na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya ccm,serikali,ukawa au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa?kwa ujumla askofu pengo amechemka kuanza kuwa husisha wenzie na ukawa.nawasilisha

Muadham kadinali Pengo kwanza nakupa pole kwa watu wanaokutuhumu wewe ndio mtu wa dini kwelikweli achana na hao waganga wa kienyeji mm nimesoma shule za roma zinamaadili mazuri sana nimefundishwa adabu nidhamu na kila kitu
 
Huyu mzee kweli kala maarage. Eti tuwaache wananchi wachague wanachotaka wakati katiba imetengenezwa na mwizi Chenge na imeondolewa vipengele vya kupambana na wezi. kama moja ya amri kumi inasema usiibe kwanini pengo aache kupinga katiba?
 
kasema saa ngap wakati Jana ujumaa kuu hata hakuongoza misa yeye?
 
Muadham kadinali Pengo kwanza nakupa pole kwa watu wanaokutuhumu wewe ndio mtu wa dini kwelikweli achana na hao waganga wa kienyeji mm nimesoma shule za roma zinamaadili mazuri sana nimefundishwa adabu nidhamu na kila kitu



Cardinal Pengo, Kuna watu wanajua imani yako, wanajua uadilifu wako na wanafahamu vizuri kwamba kazi yako unayoifanya haitangamani na upande wowote.....

Najua vizuri wanaokusakama hawana jambo jipya zaidi ya kusukumwa na hisia binafsi hata bila kuangalia uzito wa Yale uyasemayo......

Umekuwa mkweli, umesimamia utumishi uliotukuka katika kanisa, hata mahubiri yako yanalenga kuleta amani kwa taifa letu.

Mwadhama Cardinal, wanaokupinga ni hawakujui na hawajui ni kwakiasi gani wewe unaangalia maswala ya kitaifa zaidi hasa amani, your not that much cheap and Cardinal Title isn't also cheap...
keep on forgiving them, hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kuwasamehe na kuwaombea kama ambavyo umekuwa ukifanya kila Siku...

Mungu akubaliki sana Baba Askofu.
 
hatumwi name ccm? basi anajikomba ccm. roho ya mnafiki haifichiki.
 
Jibu lake mtu kwenye akili ya kuunga unga hutamuelewa,it is a perfect answer ingawa siko dhehebu lake
 
  • Thanks
Reactions: jcb
Cardinal Pengo, Kuna watu wanajua imani yako, wanajua uadilifu wako na wanafahamu vizuri kwamba kazi yako unayoifanya haitangamani na upande wowote.....

Najua vizuri wanaokusakama hawana jambo jipya zaidi ya kusukumwa na hisia binafsi hata bila kuangalia uzito wa Yale uyasemayo......

Umekuwa mkweli, umesimamia utumishi uliotukuka katika kanisa, hata mahubiri yako yanalenga kuleta amani kwa taifa letu.

Mwadhama Cardinal, wanaokupinga ni hawakujui na hawajui ni kwakiasi gani wewe unaangalia maswala ya kitaifa zaidi hasa amani, your not that much cheap and Cardinal Title isn't also cheap...
keep on forgiving them, hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kuwasamehe na kuwaombea kama ambavyo umekuwa ukifanya kila Siku...

Mungu akubaliki sana Baba Askofu.








Hamna kitu hapo ni GAS tu Roma hakuna maadili historia inasema
 
hapa kweli mzee wetu pengo kachemka kwa sababu yeye Kama alishakubaliana na maaskofu wenzeka alafu anawageuka! hapa kweli inawezekana akawa anatumikia CCM.
 
Cardinal Pengo, Kuna watu wanajua imani yako, wanajua uadilifu wako na wanafahamu vizuri kwamba kazi yako unayoifanya haitangamani na upande wowote.....

Najua vizuri wanaokusakama hawana jambo jipya zaidi ya kusukumwa na hisia binafsi hata bila kuangalia uzito wa Yale uyasemayo......

Umekuwa mkweli, umesimamia utumishi uliotukuka katika kanisa, hata mahubiri yako yanalenga kuleta amani kwa taifa letu.

Mwadhama Cardinal, wanaokupinga ni hawakujui na hawajui ni kwakiasi gani wewe unaangalia maswala ya kitaifa zaidi hasa amani, your not that much cheap and Cardinal Title isn't also cheap...
keep on forgiving them, hakuna unachoweza kufanya zaidi ya kuwasamehe na kuwaombea kama ambavyo umekuwa ukifanya kila Siku...

Mungu akubaliki sana Baba Askofu.

Naona umeamua kujitoa ufahamu,unafikiri Pengo atapitia huku JF na kusoma hizo pumba zako Kisha a reply kwakukusifia umemsafisha!?Stupid kabisa
 
Mnapoandika muwe na kumbukumbu vichwan kuhusu muswada uliopitishwa juz (cybercrime) japo presdent hajausain.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom