Tusisahau fact kwamba Pengo ni mwanadamu na ana mitazamo yake pia. Kwa namna moja au nyingine matamshi yake hayajitoshelezi kumuhusisha na serikali, ni kama katika mijadala ya hivi karibuni ambayo ilidaiwa kulenga serikali lakini wahusika wakakana suala hilo, sioni sababu ya kumuweka Pengo katika mtazamo wa kisiasa zaidi bali katika mtazamo wa mienendo yake binafsi ya kimaisha. He is who he is, ana haki ya kujieleza kile anachojiskia na anacho amini ili mradi haingilii uhuru wa watu wengine. My perception is not of political view rather it's based in personal freedom of expression and speech.