OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,072
- 103,284
Mtu mkubwa na mwenye heshima nzito ya kiuongozi na kiimani anapozungumzia mustakabali wa nchi hutakiwi kuzungumzua juu juu.Unatakiwa kuzungumza kwa mapana na kwa utulivu wa hali ya juu kwa kuwa wewe ni mtu unayetiliwa maanani zaidi kuliko kina siye
Nimemsoma na kumsikiliza Kardinali Pengo akiifagilia serikali ya Magufuli,na kwamba kwa awamu hii masikini wamepumua na kwamba hata mtu wa kawaida anaweza kutumia usafiri wa ndege za ATCL.
Nimesikitika sana.........lakini nimepata somo kwamba ni marufuku kumuamini mtu yeyote isipokuwa Mungu aliyee juu ya yote
Mpaka mwaka 2016 unaisha Watanzania bado hatujatulia,mambo mengi ya kuudhi na kushangaza yametokea mwaka huu. Orodha ya mambo Haya ni ndefu sana nitaorodhesha baadhi.Nachoshangaa ni kwa nini kiongozi huyu mkubwa wa dini hakuyaona kama ni maswala yanayowakwaza wanakondoo
1.Maumivu ya wahanga wa tetemeko kukosa misaada tegemewa
2.Idadi kubwa ya wanafunzi wa vyuo kukosa mikopo
3.Kubinywa kwa demokrasia ya vyama kinyume na katiba
4.Kutokuwa na uelekeo wa kupata katiba ya wananchi
5.Kubinywa kwa Uhuru wa kujieleza
6.Kupotea kwa Kijana Ben Saanane
7.Ukiukwaji wa haki za Binadamu waliosemekana ni wahamiaji haramu waliozikwa kwenye sandarusi
8.Kutokuheshimiwa kwa Bajeti iliyopitishwa na Bunge.
9.Wabunge wa CCM kuhusishwa na rushwa ya 10m kula mmoja
10.Msakabali wa Zanzibar na chuki za kisiasa
11.Mazingira mabaya kwa atumishi wa Serikali
12.Haki za watumishi walisitishiwa ajira zao
13.Matumizi mabaya ya jeshi la Polisi.
14.nk nk nk
Nimemsoma na kumsikiliza Kardinali Pengo akiifagilia serikali ya Magufuli,na kwamba kwa awamu hii masikini wamepumua na kwamba hata mtu wa kawaida anaweza kutumia usafiri wa ndege za ATCL.
Nimesikitika sana.........lakini nimepata somo kwamba ni marufuku kumuamini mtu yeyote isipokuwa Mungu aliyee juu ya yote
Mpaka mwaka 2016 unaisha Watanzania bado hatujatulia,mambo mengi ya kuudhi na kushangaza yametokea mwaka huu. Orodha ya mambo Haya ni ndefu sana nitaorodhesha baadhi.Nachoshangaa ni kwa nini kiongozi huyu mkubwa wa dini hakuyaona kama ni maswala yanayowakwaza wanakondoo
1.Maumivu ya wahanga wa tetemeko kukosa misaada tegemewa
2.Idadi kubwa ya wanafunzi wa vyuo kukosa mikopo
3.Kubinywa kwa demokrasia ya vyama kinyume na katiba
4.Kutokuwa na uelekeo wa kupata katiba ya wananchi
5.Kubinywa kwa Uhuru wa kujieleza
6.Kupotea kwa Kijana Ben Saanane
7.Ukiukwaji wa haki za Binadamu waliosemekana ni wahamiaji haramu waliozikwa kwenye sandarusi
8.Kutokuheshimiwa kwa Bajeti iliyopitishwa na Bunge.
9.Wabunge wa CCM kuhusishwa na rushwa ya 10m kula mmoja
10.Msakabali wa Zanzibar na chuki za kisiasa
11.Mazingira mabaya kwa atumishi wa Serikali
12.Haki za watumishi walisitishiwa ajira zao
13.Matumizi mabaya ya jeshi la Polisi.
14.nk nk nk