Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,029
- 134,269
Mchambuzi huyu wa Channel 10 kipindi cha Madamoto anajidharirisha sana.Katika hoja zake analazimisha kila jinsi kumtaja Lowasa mgombea wa UKAWA.Nashindwa kumuelewa.Ni ajabu kueleza mkwamo wa katiba ya wananchi ukimshutumu Lowasa peke yake bila kuilamu CCM.Ni ajabu kumtuhumu Lowasa kuhusu ufisadi bila kuituhumu CCM...Nimefikiria sana nimeanza kuhisi pengine mchambuni hana sehemu ya kula hivyo anasaka mlo