Hata Mimi. Bila kuweka viongozi wenye weledi na professionals na wanaridhika na proffesion Yao hatutasonga mbele.Karia hajajifahamu kuwa Ni Rais wa Tff. Yeye anajua Ni Rais wa Simba. Sasa ngombe amekita kwato. Halafu ujue kupewa mawazo mbadala Ni Utundulissu