Wewe ndo utuambie huu ujuaji wako u akusaidia nini? Mwenye diploma akisimamia mtihani anakuwa na tatizo gani au unaposimamia na wewe unafanya mtihani. Wasiamizi wote wanapewa semina na wanatakiwa kurely kwenye maelekezo ya semina, kama digrii ndo kigezo cha kuwa msimamizi mkuu tueleze kanuni hiyo imeandikwa wapi?Msonde ujuaji ulipitiliza hivi itakuwaje wasimamizi wa mitihani kidato cha nne wawe walimu wa shule ya msingi arafu wasimamizi wakuu wachaguliwe na NECTA yani mtu kisa tu alichaguliwa kwenda kusahisha mitihani NECTA unamchagua awe msimizi mkuu
Sasa Leo hii mwalimu mwenye elimu ya diploma amenda simamia mitihani ya kidato cha sita kama msimizi mkuu mwalimu ambaye huo mtihani wa form six ulimshinda kisa NECTA wamesema si ujinga huo
Tumeona ,Msonde kawa promoted to TAMISEMI, (kwa mtazamo wangu hii ni demotion)
Swali la kujiuliza kwanini aondoke MITIHANI YA A LEVEL NECTA ikiwa inaendelea?
Je, kwa mtazamo wako unadhani Nani ni sahihi Kumrithi, Msonde NECTA?
Mimi, nampendekeza Mr.Mbwaga,Innocent (Ana deserve),atafanya mazuri zaidi ya NDALICHAKO na MSONDE.
Usiwe mbishiWewe ndo utuambie huu ujuaji wako u akusaidia nini? Mwenye diploma akisimamia mtihani anakuwa na tatizo gani au unaposimamia na wewe unafanya mtihani. Wasiamizi wote wanapewa semina na wanatakiwa kurely kwenye maelekezo ya semina, kama digrii ndo kigezo cha kuwa msimamizi mkuu tueleze kanuni hiyo imeandikwa wapi?
HahahaaaaaHahahahahahhahaha,
Nasikia Kuna Kombo, Abdul anaandiliwa, yupo tete pemba
huwa mnanifurahisha sana mnapenda wanyama wa kuchinjwa lakini maisha mnapenda ya kunyongwa na kubebwabebwa tu akiwekwa mtu smart mnapiga kelele haya karibuni kwenye wizi wa mitihani na majibu ya upendeleoWewe jua tu kuna mfilisti anakuja pale baada ya mgalatia kutolewa...
Zamu hii waimba kwaya lazima mnyooshwe, mlizoea kuwaonea sana wacheza kaswida kwa kutumia NECTA.
Mama endelea hivyo hivyo kuupiga mwingi mpaka akili ziwakae.
Hii sio point, msimamizi hafanyi mtihani. Hapo ni sawa na kusema hata Raisi anapaswa awe professor ili aweze kusimamia waliomzidi elimu.Msonde ujuaji ulipitiliza hivi itakuwaje wasimamizi wa mitihani kidato cha nne wawe walimu wa shule ya msingi arafu wasimamizi wakuu wachaguliwe na NECTA yani mtu kisa tu alichaguliwa kwenda kusahisha mitihani NECTA unamchagua awe msimizi mkuu
Sasa Leo hii mwalimu mwenye elimu ya diploma amenda simamia mitihani ya kidato cha sita kama msimizi mkuu mwalimu ambaye huo mtihani wa form six ulimshinda kisa NECTA wamesema si ujinga huo
Huyo ana amini hata Raisi anapaswa awe professor ili kusiwe na waliomzidi elimu.Wewe ndo utuambie huu ujuaji wako u akusaidia nini? Mwenye diploma akisimamia mtihani anakuwa na tatizo gani au unaposimamia na wewe unafanya mtihani. Wasiamizi wote wanapewa semina na wanatakiwa kurely kwenye maelekezo ya semina, kama digrii ndo kigezo cha kuwa msimamizi mkuu tueleze kanuni hiyo imeandikwa wapi?
Kama ujui vitu tuliaHii sio point, msimamizi hafanyi mtihani. Hapo ni sawa na kusema hata Raisi anapaswa awe professor ili aweze kusimamia waliomzidi elimu.
Rudi shule ukasome usiwe na hasiraWewe ndo utuambie huu ujuaji wako u akusaidia nini? Mwenye diploma akisimamia mtihani anakuwa na tatizo gani au unaposimamia na wewe unafanya mtihani. Wasiamizi wote wanapewa semina na wanatakiwa kurely kwenye maelekezo ya semina, kama digrii ndo kigezo cha kuwa msimamizi mkuu tueleze kanuni hiyo imeandikwa wapi?
Blogger boooyTumeona ,Msonde kawa promoted to TAMISEMI, (kwa mtazamo wangu hii ni demotion)
Swali la kujiuliza kwanini aondoke MITIHANI YA A LEVEL NECTA ikiwa inaendelea?
Je, kwa mtazamo wako unadhani Nani ni sahihi Kumrithi, Msonde NECTA?
Mimi, nampendekeza Mr.Mbwaga,Innocent (Ana deserve),atafanya mazuri zaidi ya NDALICHAKO na MSONDE.
Wamiliki wa shule binafsi wanachekelea,muda wa mitihan kuanza kuleakTumeona ,Msonde kawa promoted to TAMISEMI, (kwa mtazamo wangu hii ni demotion)
Swali la kujiuliza kwanini aondoke MITIHANI YA A LEVEL NECTA ikiwa inaendelea?
Je, kwa mtazamo wako unadhani Nani ni sahihi Kumrithi, Msonde NECTA?
Mimi, nampendekeza Mr.Mbwaga,Innocent (Ana deserve),atafanya mazuri zaidi ya NDALICHAKO na MSONDE.