Pendekezo: Mwinyi Zahera, ainoe Taifa Stars

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Wana michezo wenzangu salaam.

Ukilinganisha matatizo inayopitia timu ya Yanga na mafanikio inayoyapata, bila shaka yoyote ndipo utaamini nafasi ya kocha uwanjani.

Mimi siku zote naamini mpira ni wachezaji wazuri, kocha hana nafasi, lkn kwa performance ya Yanga, naona mchango mkubwa ni kocha wachezaji wanamalizia.

Hivi, ingekuwa vipi kama Yanga wasingekuwa na matatizo ya kifedha halafu kocha akawa Zahera? Naamini ingefanya kufuru zaidi.

Kwa performance ya Zahera, napendekeza Amunike ampishe nafasi haraka iwezekanavyo, huyu ndo kocha wa kutuvusha mbali

Ni hayo tu
 
Wana michezo wenzangu salaam.

Ukilinganisha matatizo inayopitia timu ya Yanga na mafanikio inayoyapata, bila shaka yoyote ndipo utaamini nafasi ya kocha uwanjani.

Mimi siku zote naamini mpira ni wachezaji wazuri, kocha hana nafasi, lkn kwa performance ya Yanga, naona mchango mkubwa ni kocha wachezaji wanamalizia.

Hivi, ingekuwa vipi kama Yanga wasingekuwa na matatizo ya kifedha halafu kocha akawa Zahera? Naamini ingefanya kufuru zaidi.

Kwa performance ya Zahera, napendekeza Amunike ampishe nafasi haraka iwezekanavyo, huyu ndo kocha wa kutuvusha mbali

Ni hayo tu
Usicopy mtazamo wa Mo Dewji
 
Wana michezo wenzangu salaam.

Ukilinganisha matatizo inayopitia timu ya Yanga na mafanikio inayoyapata, bila shaka yoyote ndipo utaamini nafasi ya kocha uwanjani.

Mimi siku zote naamini mpira ni wachezaji wazuri, kocha hana nafasi, lkn kwa performance ya Yanga, naona mchango mkubwa ni kocha wachezaji wanamalizia.

Hivi, ingekuwa vipi kama Yanga wasingekuwa na matatizo ya kifedha halafu kocha akawa Zahera? Naamini ingefanya kufuru zaidi.

Kwa performance ya Zahera, napendekeza Amunike ampishe nafasi haraka iwezekanavyo, huyu ndo kocha wa kutuvusha mbali

Ni hayo tu
We ni jinsia gani mkuu tuanzie hapo kwanza
 
Wana michezo wenzangu salaam.

Ukilinganisha matatizo inayopitia timu ya Yanga na mafanikio inayoyapata, bila shaka yoyote ndipo utaamini nafasi ya kocha uwanjani.

Mimi siku zote naamini mpira ni wachezaji wazuri, kocha hana nafasi, lkn kwa performance ya Yanga, naona mchango mkubwa ni kocha wachezaji wanamalizia.

Hivi, ingekuwa vipi kama Yanga wasingekuwa na matatizo ya kifedha halafu kocha akawa Zahera? Naamini ingefanya kufuru zaidi.

Kwa performance ya Zahera, napendekeza Amunike ampishe nafasi haraka iwezekanavyo, huyu ndo kocha wa kutuvusha mbali

Ni hayo tu
Wewe jamaa hauko serious! Yanga wanaperfomance nzuri? Na zile butua butua usifananishe kucheza na ndanda sawa na Uganda au ghana
 
Wewe jamaa hauko serious! Yanga wanaperfomance nzuri? Na zile butua butua usifananishe kucheza na ndanda sawa na Uganda au ghana
lakini anayeenda kucheza huko ni mshindi wa ligi yetu, n mshindi anapatikana kwa kwa kuwa pointi nyingi na pointi huletwa na magoli, wala si pasi wala si kubutua, goli ni goli. Arsene Wenger aliwahi kupendekeza hilo kwamba anayecheza vizuri naye awe anapewa pointi hata kama kafungwa, hawakusumbuka hata kujadili. BUTUA BUTUA hiyo in point 38 leo hakuna aliye nazo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom