Hussein M Mavuche
New Member
- Jun 6, 2012
- 1
- 0
Tanzania inabidi iangalie uwezekano wa kubadilisha mitaala ya elimu, kwa sasa masomo ni mengi,hili hufanya wanafunzi
kushindwa kuyabeba.
PENDEKEZO: Kuanzia kidato cha kwanza wanafunzi wasome yale masomo tu wanayoyamudu kama ilivyo kwenye kidato cha tano na sita, naamini mwanafunzi akifundindishwa kwa miaka minne eg PCB,PCM,EGM,HGK,HGL nk naamini baada ya hapo ameiva kwenda chuo kikuu au kwenda kwenye fani yoyote akiwa ameelewa.
Masomo mengine kwa intrest ya mtu anaweza kusoma baadae na akachukua degree kwa mfano mhandisi aliyesoma
PCM baadae anaweza kusoma Geograph kwa matakwa yake.
Tulione hili
kushindwa kuyabeba.
PENDEKEZO: Kuanzia kidato cha kwanza wanafunzi wasome yale masomo tu wanayoyamudu kama ilivyo kwenye kidato cha tano na sita, naamini mwanafunzi akifundindishwa kwa miaka minne eg PCB,PCM,EGM,HGK,HGL nk naamini baada ya hapo ameiva kwenda chuo kikuu au kwenda kwenye fani yoyote akiwa ameelewa.
Masomo mengine kwa intrest ya mtu anaweza kusoma baadae na akachukua degree kwa mfano mhandisi aliyesoma
PCM baadae anaweza kusoma Geograph kwa matakwa yake.
Tulione hili