Pendekezo: Hafla zozote zinazomhusu Rais iwe ni marufuku kuwepo burudani za wachekeshaji, waigizaji au wasanii binafsi

Pendekezo: Hafla zozote zinazomhusu Rais iwe ni marufuku kuwepo burudani za wachekeshaji, waigizaji au wasanii binafsi

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
12,151
Reaction score
44,071
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
 
Nilidhani wanapeleka Script ikaguliwe kabla ya performance otherwise Dogo aliharibu sana
 
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
Akili ya mtu huwa inafanana na anaoshinda nao,kama wewe mlevi lafiki zako watakuwa watu wa vilabuni, na kama wewe mtu wa swala,na kusali rafiki zako watakuwa watu wa msikitini au kanisani,
Kitu Kingine inchi hii vijana wajingawajinga ndiyo wanaopewe promo,siyo wale tena waliofaulu vizuri,wagunduzi wa vitu mbalimbali na hata wanaoiheshimisha inchi,sababu inchi imekuwa ya machawa
 
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
Rais anafanya mizaha na watu wasio na heshima hiyo inaathiri ufikiri wa rais. Angalia kama huyo sijui nani na huyo Steven Mengele. hawa watu wa michezo michezo ya kijinga ambayo inadhalilisha taasisi ya urais. Last time mnakumbuka kuna MC alitaka kupiga picha na rais ili kumtambia mke wake? Hawa wahuni wanatakiwa wawe na heshima, au kwa vile rais wetu amekuwa wa ovyo?
 
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
Wewe ni nani hutaki rais wetu afurahi ..ikiwa yeye mwenyewe anacheka na kufurahi wewe bumunda nani usiyetaka rais afurah..

Alafu usifikiri wanapanda pale na kuanza kuongea palepale hapo wameshafanya mazoezi na kuperform mbele ya viongozi wa ulinzi na usalama kwanza kwa zaidi ya wiki ndio maana unawaona pale ..
Kila neno limehakikiwa pale.
 
Ni sahihi kabisa.
Ukishakuwa Kiongozi wa nchi kuna vitu hupaswi kuvientertain, mazoea yanatakiwa yawe na ukomo.

Mh.Rais naye niliona kama alitaka kupokea kile alichokuwa anapatiwa (Kosa kubwa sana) kabla hakijazuiliwa na walinzi wake.

Watanzania tunajijua wenyewe, wanakuua huku wanakuchekea.
 
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
Wamefanyaje tena wasanii wetu?!
 
Wewe ni nani hutaki rais wetu afurahi ..ikiwa yeye mwenyewe anacheka na kufurahi wewe bumunda nani usiyetaka rais afurah..

Alafu usifikiri wanapanda pale na kuanza kuongea palepale hapo wameshafanya mazoezi na kuperform mbele ya viongozi wa ulinzi na usalama kwanza kwa zaidi ya wiki ndio maana unawaona pale ..
Kila neno limehakikiwa pale.
Sio kweli kama yule dogo jana kachemsha vibaya mno. Yeye kila kisa cha comedy yake ni kumuhusu Rais, siku atakuja kuongea matusi sasa.

Mimi yule Jamaa wa kwanza kitu kama Leornad ni comedian yule halafu seems kama amesoma. Yule mnyakyusa mweusi na mnene ni overated comedian ...hamna kitu pale.
 
Mizaha mizaha itatumbua usaha, tusilee ujinga na upuuzi hadharani, hayo mambo tukiendelea kucheka nayo ipo siku, tena sio nyingi tutavuna mabua. Taifa linawapa kiburi na jukwaa pana na kubwa mnoo isivyopaswa kisa waliwahi kufanya mizaha mbele ya mheshimiwa rais.

Hao wasanii, kwa nature ya kazi zao, wapo tayari kusema, kuigiza, kuimba au kufanya kitu chochote ili kutafuta attention (kick), kushangiliwa na kusikika (trend), na huenda 99% yao hawakuwa kwenda shule rasmi ya sanaa wanayoifanya ili kujifunza misingi, miiko na kanuni zinazotawala sanaa kiujumla.

Ukicheka na mbwa atakufuata mpaka msikitini!
Kila ibilisi na mbuyu wake... Ndege wafananao huruka pamoja
 
Unauhakika raisi mwenyewe amekasirishwa? Au shobo?
 
Wewe ni nani hutaki rais wetu afurahi ..ikiwa yeye mwenyewe anacheka na kufurahi wewe bumunda nani usiyetaka rais afurah..

Alafu usifikiri wanapanda pale na kuanza kuongea palepale hapo wameshafanya mazoezi na kuperform mbele ya viongozi wa ulinzi na usalama kwanza kwa zaidi ya wiki ndio maana unawaona pale ..
Kila neno limehakikiwa pale.
Hilo walilofanya ni kosa kubwa sana. Huyo alilotaka kufanya, haliruhusiwi ndiyo maana walinzi wa rais waliingilia
 
Back
Top Bottom