johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Ukiangalia majukumu yao ya jumla ya utendaji wao wa kila siku binafsi naona Afisa Usalama wa Wilaya anafit zaidi kuwa Mwenyekiti wa kamati ya usalama ya Wilaya ukilinganisha na Mkuu wa Wilaya kama ilivyo sasa.
Mkuu wa Wilaya yuko kisiasa zaidi na mambo ya usalama yamejikita zaidi kwenye weledi na NIDHAMU.
Hayo ni maoni yangu, je wewe unasemaje?
Karibu!
Mkuu wa Wilaya yuko kisiasa zaidi na mambo ya usalama yamejikita zaidi kwenye weledi na NIDHAMU.
Hayo ni maoni yangu, je wewe unasemaje?
Karibu!