Pendekezo-baraza la mawaziri la chadema 2015

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.
 
Unajua 91% ya baraza lako ni Wakristo watupu? That reveals the hidden agenda behind CHADEMA!
 
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.

Baraza la namna hii ni la kuongoza familia sio nchi. Kama ukiwapa ruhusa wanaweza ongoza familia yenu au yako ila si watanzania

 
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.


Uvunjwe muungano kwanza, maana waznz siwaoni? hiyo itakuwa kamati ya kuchangia jumuia sio baraza la mawaziri.
 
nchi haitatawalika limejaa wanaharakati wengi wanaweza kuacha kukusanya kodi kwa madai ya kwamba wananchi wanaumia
 
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.

si kila apigaye kelele ni kiongozi mzuri wengine waache hapa walipo huko juu watakwenda kuvuruga nchi
 
Baraza zuri ila linaonekana kama lina watu ambao sio wanasiasa na hawajawai kusema wapo upande gani wa vyama vya siasa..nasema hivyo isije ikaleta picha mbaya kwa wabaya wa CHADEMA kuwa wanaharakati ni wana-CHADEMA..vinginevyo labda tuiseme sisi tutaunda baraza la mawaziri au serikali mseto ikimaanisha tutachukua mtu makini yoyote kutusaidia.
 
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.


ukiachana na kuwa wengine hapo umewapendekeza ambao siyo wanachama wa chadema pia kuna baadhi ya watu kwa sasa ni wabunge ila mwaka 2015 hawatakuwa wabunge kwakuwa hata ndani ya chama hawata shinda labda kama watapata uteuzi mala mbili kwanza kuteuliwa kuwa wabunge na pili kuteuliwa kuwa mawazili.
 
John Magale Shibuda waziri wa nishati na madini!
Napendekeza Baraza hili la Mawaziri la CHADEMA uchaguzi mkuu 2015 ili liweze kutufikisha pale tunapopahitaji Watanzania:
1. Freeman Aikaeli Mbowe-Rais
2. DR. Wibroad Slaa-Waziri Mkuu
3. Ulimboka Stephen-Waziri wa Afya
4. Zitto Zuberi Kabwe-Waziri wa Fedha
5. Deus Kibamba-Waziri wa Sheria na Katiba
6. John Mnyika- Waziri wa Nishati na Madini
7. Jenerali Ulimwengu- Waziri wa Mambo ya nchi za nje
8. Godbless Lema-Waziri wa Mambo ya Ndani
9. Ananilea Nkya-Waziri wa Wanawake jinsia na watoto
8. Ezekiel Wenje-Waziri wa Kilimo na Uvuvi
9. Hellen Kijo Bisimba-Waziri wa Uhamiaji(wizara mpya)
10. Joseph Mbilinyi-Wizara ya Starehe burudani na Michezo
11. Rose Mwakitwange-Waziri wa utawala bora

Unaweza kuongeza au kuwaondoa wasiyofaa.
Nawasilisha.
 
State man is thinking about future generation
But a Politician is thinking about future election.
 
Code:
Unajua 91% ya baraza lako ni Wakristo watupu? That reveals the hidden agenda behind CHADEMA!

Hivi kitu kigani kimefanya udhani kuwa waliotajwa ni wakristo?
Kama umesoma majina, mhhh, sidhani kwani Asha Rose Migiro ni dini gani? Bob Makani Je? Kingunge? na wengine kama hao?
Nadhani kwa kuangalia majina tu, na kutafuta dini zao una lako jambo! na haikupi uwezo wakuitimisha kuwa wengi wa hao ni wakristo!
Samahani lakini ..................................
 
Too early to judge!umewaacha wengi wenye uwezo!wapi lissu,Prof Safari,Prof Baregu,nk!they should have been in your list!
 
Back
Top Bottom