Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi, Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo.