hakuna mapenzi wala nini nawadaiz ndo maana incidents za mapenzi ya upande mmoja huonekana, ushauri wangu ni kwamba wewe kama unapenda penda tu ila usijigerentii kwamba ukipenda utareceive the same love kama ile unayogive out, na wale mnaotaka wa kuwapenda muangalie kwani sio kila anaekupenda sana atakuvutia...kumbuka love ni kemia.