Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Hii serikali ya Magu hakuna mwizi atabaki salama..
Wanaita Money Laundering kwa kiingereza,
What is 'Money Laundering'
Money laundering is the process of creating the appearance that large amounts of money obtained from serious crimes, such as drug trafficking or terrorist activity, originated from a legitimate source.
Kwamba ni kitendo cha kufanya pesa iliyopatikana kwa njia haramu ionekane kama vile ni halali/safi. Mara nyingi ni pesa za madawa, rushwa, ujambazi, ugaidi nk.
Na hii inahusisha fedha nyingi nyingi.[/QUOTE
SHULE KWELI NZURI MBONA BILLY GATE HAFANYI MAKEKE
Maana yake ni kuchukua fedha na kuifua.....Kutakatisha fedha ni kufanya nini maana yake?
Astaghafulilah. Ptuushushushu VIP ni mwanaume
Ni kuingiza pesa haramu ktk mzunguko wa pesa ili kuzifanya halali.Mwenye picha yake. Halafu naomba kuuliza kutakatisha hela inakuaje?
Yule mtanzania pedejee Jack Pemba(Janja la kutafuta,fala la kutumia) Limetiwa mbaroni jana Entebe air port likitaka kutoroka nchini.Kwa tuhuma za utakatishaji wa fedha.
Kweli kabisa uwezi ela kuitafuta kwa jasho ukaitumia kama ivi maana haina uchungu.Wanaita Money Laundering kwa kiingereza,
What is 'Money Laundering'
Money laundering is the process of creating the appearance that large amounts of money obtained from serious crimes, such as drug trafficking or terrorist activity, originated from a legitimate source.
Kwamba ni kitendo cha kufanya pesa iliyopatikana kwa njia haramu ionekane kama vile ni halali/safi. Mara nyingi ni pesa za madawa, rushwa, ujambazi, ugaidi nk.
Na hii inahusisha fedha nyingi nyingi.
East Africa: Uganda, Tanzania Investigate Socialite Jack PembaYule mtanzania pedejee Jack Pemba(Janja la kutafuta,fala la kutumia) Limetiwa mbaroni jana Entebe air port likitaka kutoroka nchini.Kwa tuhuma za utakatishaji wa fedha.
Huweze ng'aa bongo kwa hela ya halali ndugu yangu;