Pedeshee Jack Pemba atiwa mbaroni Uganda

Status
Not open for further replies.

majebsmafuru

JF-Expert Member
May 1, 2017
453
628
pemba-2.jpg

Mtanzania anayevuma kwenye mitandao ya kijamii kutokana na matanuzi ya fedha, Jack Pemba yuko mikononi mwa vyombo vya dola akichunguzwa kutokana na tuhuma za utakatishaji wa fedha.

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda, Asan Kasingye amethibitisha kukamatwa
kwa Mtanzania huyo na kwamba alikamatwa wakati akijaribu kuondoka
nchini humo.

======

An online publication recently reported that Mr Pemba’s case file relating to fake gold transactions was withdrawn from Kampala Central Police Station (CPS) on orders of senior police officers.

The same sources reported that Mr Pemba is using police protection to dodge arrest over alleged crimes such as drink driving.

KAMPALA. Following the reported arrest of socialite Jack Pemba, police have announced that he is being investigated by Uganda and Tanzania forces over money laundering.

Police spokesperson Asan Kasingye said he is yet to get details of the arrest, adding: “Tanzanian and Uganda police were investigating him over money laundering when I was still Interpol director.”

Mr Pemba was reportedly arrested on Sunday night at Entebbe International Airport as he tried to leave the country. It was reported that he was apprehended by plain clothed security operatives who had been monitoring him.

Mr Pemba, who has kept many speculating on the source of his income as he gives out dollars at music concerts and sports events, was recently cited in a botched Shs2.5b gold scandal.

Mr Kasingye dismissed claims that Mr Pemba’s illegal activities were being shielded by police.

An online publication recently reported that Mr Pemba’s case file relating to fake gold transactions was withdrawn from Kampala Central Police Station (CPS) on orders of senior police officers.

The same sources reported that Mr Pemba is using police protection to dodge arrest over alleged crimes such as drink driving.
 
Mwenye picha yake. Halafu naomba kuuliza kutakatisha hela inakuaje?
 
Noted he is dating Sheebah Karungi. Looks proffessional conman. Yawezekana Mose Iyobo alifuata mabaki ya fedha za Jack pemba kwa aunty ezekiel. Kufa kufaana
 
Kutakatisha fedha ni kufanya nini maana yake?

Wanaita Money Laundering kwa kiingereza,

What is 'Money Laundering'
Money laundering is the process of creating the appearance that large amounts of money obtained from serious crimes, such as drug trafficking or terrorist activity, originated from a legitimate source.

Kwamba ni kitendo cha kufanya pesa iliyopatikana kwa njia haramu ionekane kama vile ni halali/safi. Mara nyingi ni pesa za madawa, rushwa, ujambazi, ugaidi nk.

Na hii inahusisha fedha nyingi nyingi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom