Mkuu mleta mada ungepekuwa humu humu kuna thread kama nadhani kumi hivi kuhusu hawa jamaa unaowaulizia pia Mods wanaweza kuziunganisha ili watu wafuatilie kwa ukaribu sana maana kila uchao zinazidi kuongezeka. Nadhani bado maana kwa hapa jf ungeshajua kinachoendelea kule
Wakuu ni vyema huku pccb wakisikiliziwa kutoa haoo watakao kua shortlisted...japo mtu kutafuta na mishe zingine.Sio mwisho wa siku mambo yakiwa ndivyo sivyo usije pagawa(Cha msingi kupiga sala tu).Nawasilisha waungwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.