RUDVANNESTROOY
Member
- Dec 12, 2012
- 69
- 14
Kwa hiyo una ashumu walio piga paper la pili wameula?
Ndio, na ndio wengi watakao perfom coz walikua wanajua maswali yote na kuwa na uhakika wa kitu gani wanaenda kuulizwa na majibu yake.Kama ni uongo fuatilia majibu au nenda kaulize walio sahihisha watakupa haya ninanyo kuambia