PCB ni comb ya kukimbilia kwa sasa?

PCB ni comb ya kukimbilia kwa sasa?

makere2

Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
13
Reaction score
8
Kwangu mimi naona hii sio comb ya kukimbilia kwa sasa kwani kila mwenye uwezo wa juu ana ndoto za udaktar, sasa angalia vyuo vyetu vya udaktari na ada zake ni hatari, huyu PCB anapata div 2 udaktar anatemwa je ataenda ualimu tu.

Ila angalia PCM wana program nyingi sana ambapo mwenye div2 ni vigumu kukosa eng vyuo kama UDOM, MUST, DIT, na vinginevyo na kwa ada ya kawaida. Hivo mimi nimeichukia sana PCB ingawa ni kombi yangu iliyoniweka MUHAS
 
sio lazima wote mnaotaka MD mkasome MUHAS, mnashindiliana wote huko kuomba course ndo mana mnakosa nafasi
 
uchaguzi mbovu ndo unaowafanya mkose nafasi....
 
Unasoma tu kutanua ubongo pia.
Mi nilisoma hiyo na kwa sasa ni Professional Accountant,maisha yanasonga tu.
 
Swala sio lazima USomee MD unaweza kozi yoyote ta afya na ukawa safi.

Saivi kozi za afya zina soko sana na uhakika Wa ajira upo ndo maana vijana wengi wanakimbila huko .
 
Unaichukia kwa kivipi wakati ndo imekufikisha hapo ulipo....!
 
navyo ona ndoto za wadogo zetu zinapotea kwa weng wanao enda A level na hii comb
Swala sio lazima USomee MD unaweza kozi yoyote ta afya na ukawa safi.

Saivi kozi za afya zina soko sana na uhakika Wa ajira upo ndo maana vijana wengi wanakimbila huko .
kwel ndio ila ni kwa muda tu, angalia saiv vyuo vinavyotoa coz za afya e.g clinical medicine vipo vingap, pia upande wa bachelor na ulinganishe hospital zetu na vituo vya afya vyote hapo ndo utakapo gundua hili ina maana baada ya muda wote tutategemea kujiajiri
 
Kwangu mimi naona hii sio comb ya kukimbilia kwa sasa kwani kila mwenye uwezo wa juu ana ndoto za udaktar, sasa angalia vyuo vyetu vya udaktari na ada zake ni hatari, huyu PCB anapata div 2 udaktar anatemwa je ataenda ualimu tu.

Ila angalia PCM wana program nyingi sana ambapo mwenye div2 ni vigumu kukosa eng vyuo kama UDOM, MUST, DIT, na vinginevyo na kwa ada ya kawaida. Hivo mimi nimeichukia sana PCB ingawa ni kombi yangu iliyoniweka MUHAS
Madaktari bado wanahitajika sana hasa serikalini, tatizo kubwa ni kuwa serikali haina hela ya kuwalipa hapo ndipo shida inapokuja na wanaishia kuajiri waty wachache tuu, kwa walioko kwenye system nadhani wananielewa kwani kuna madaktari waliomaliza mwaka jana bado wapo mtaani wanaungaunga kwenye vidispensary vya watu.
kwel ndio ila ni kwa muda tu, angalia saiv vyuo vinavyotoa coz za afya e.g clinical medicine vipo vingap, pia upande wa bachelor na ulinganishe hospital zetu na vituo vya afya vyote hapo ndo utakapo gundua hili ina maana baada ya muda wote tutategemea kujiajiri
 
Madaktari bado wanahitajika sana hasa serikalini, tatizo kubwa ni kuwa serikali haina hela ya kuwalipa hapo ndipo shida inapokuja na wanaishia kuajiri waty wachache tuu, kwa walioko kwenye system nadhani wananielewa kwani kuna madaktari waliomaliza mwaka jana bado wapo mtaani wanaungaunga kwenye vidispensary vya watu.
hilo ni kweli mkuu siku moja tulikuwa na afsa mwajiri kwenye kikao alisema kitu hicho hicho. serikali kwanza inaangalia hela ya kuwalipa kwanza c tu kwa ajiri, kinacholeta changamoto ni mtaji wakufungua kijiwe chako hv tutabakia kupiga kwenye vidispensary2
 
PCB ndo mpango mzimaa.
No physics no Doctors, Nurses, Pharmacy and lab scientst
 
hilo ni kweli mkuu siku moja tulikuwa na afsa mwajiri kwenye kikao alisema kitu hicho hicho. serikali kwanza inaangalia hela ya kuwalipa kwanza c tu kwa ajiri, kinacholeta changamoto ni mtaji wakufungua kijiwe chako hv tutabakia kupiga kwenye vidispensary2
umaniabisha sana ujengaji wako mbovu wa hoja. MUHAS ndiyo imekuwa ya vilaza hivi? au ugeni wa jf?
 
kama upo fresh phy.che,bios o level na advance ata diplom ya clinical medicne utapata ni udocta pia
 
Mimi nilisoma iyo comb na nikakosa udaktari nikaenda soma zangu wildlife na mambo yanaenda vizuri kabisa na hata sitaki tena huo udaktari
 
Hapo kakosea nini mkuu, hebu toa maoni yaki tujifunze, c unajua elimu haina mwisho
kusema hospitali chache kiasi kwamba kazi zitakosekana na tutategemea kujiajiri ni kukosa uelewa wa hali halisi, japo kazungumzia lengo la kuwa daktari lakini kiukweli PCB ina choices nyingi chuo kikuu kuliko comb zote, hadi uhandisi unasoma. kusema ukitemwa udaktari utaenda ualimu tu ni uongo au ujinga. Mwisho ni kuwa kozi za afya hazihitaji tu waliofaulu bali waliofaulu vizuri.
 
Back
Top Bottom