PC yangu haiwaki msaada

PC yangu haiwaki msaada

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
16,748
Reaction score
28,140
Wakuu leo mchana nimeitumia fresh tu.. Nikaizima ila wakati nachomoa waya wa power ukagusa ile port ya vga kukatokea kama kishot kwa nje..

Sasa hivi nawasha haiwaki..
CHIEF MKWAWA na wengineo Msaada.
PC ni dell core i2

Mrejesho...
wakuu ile PC Jana tu nimeitoa kwa fundi 70000..nmelipa
Mwenye PC nlienda nae alieniuzia.. Fundi kasema adapter yake ya mwanzo ndo iliunguza.
Leo tu tena PC limegoma kuwaka.. Nmemfata mwenye PC anipe Hela yangu aache utapeli PC nmetumia siku moja tu kwa fundi tena duh... Jamaa ananivimbia..
nfanyaje sasa?? au nimuoneshe uhuni au nikamshtaki mafundi wanasema PC mbovu pia..
 
Jaribu kutoa betri then bonyeza power button kwa sekunde kadhaa ukiwa umechomoa waya wa power,,,then weka waya wa pawa washa bila kuwela betri
Mmh acha nijaribu mkuu but unadhani tatizo ni nini??
Maana nlikuwa naitumia vizuri tu
 
inatengenezeka hiyo haina haja ya motherboard nyingine

ni swala la muda na kupima eneo husika kwa umakini na kureplace kilichoungua

kompyuta haiwez kufa yote ina protective circuits kila kona

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu uhakika wa kupona si upo?? ama bado? unadhani tatizo ni kubwa hapo? Nimeambiwa ni 40000 kutengeneza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom