Msaada Hp 15 haiwaki

Walec

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,361
3,296
Wakuu mambo vip

Jana usku nimemalza kutumia pc yangu fresh tu,nikaizima nikalala

Leo naamka naiwasha haiwaki,nikachomeka adaptor mana nilihis haina moto, cha ajabu hata ile LED ya kwenye pc haiwaki kuonesha kama kuna moto unaingia

Nimejarbu kubadlisha adaptor lakin bila bila,nmejarbu kuwasha bila battery via adaptor lakin bado

Sasa naomba msaada wakuu shida hapa itakua nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mambo vip

Jana usku nimemalza kutumia pc yangu fresh tu,nikaizima nikalala

Leo naamka naiwasha haiwaki,nikachomeka adaptor mana nilihis haina moto, cha ajabu hata ile LED ya kwenye pc haiwaki kuonesha kama kuna moto unaingia

Nimejarbu kubadlisha adaptor lakin bila bila,nmejarbu kuwasha bila battery via adaptor lakin bado

Sasa naomba msaada wakuu shida hapa itakua nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
peleka kwa fundi wa laptop alie karibu nawe aifanyie diagnosis
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom