Genius one
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 134
- 69
Ni wazi wale wote tunaofuatilia mambo ya technology; especially E-Commerce(biashara kwa njia ya internet) mtakubaliana na mimi nchi yetu imepoteza mapato mengi sana na ajira nyingi sana kwa watanzania hasa vijana wasomi.Kwa nini ?
Nitoe mifano michache then wenzangu mtaongezea zaidi.Kuna mitandao maarufu kama EBAY na AMAZON (E-commerce platforms).Hizi sites zimetoa ajira kubwa sana kwa vijana na makampuni kwa Marekani,China,Kenya na nchi nyingine nyingi duniani.
Utajiuliza hapa kwanini watanzania hawauzi na kunufaika na haya masoko makubwa duniani EBAY,AMAZON and the like?
JIBU: Ni mfumo wa malipo. Ukiwa Tanzania huwezi kupokea malipo toka nchi nyingine kwa kutumia Paypal.Kwa kifupi ni kwamba nchi yetu bado haijaruhusu kupokea fedha kwa njia ya PAYPAL kutoka nchi nyingine duniani.Hivyo,ukiwa Tanzania Unaruhusiwa tuu KUTUMA(one way) kwa njia ya Paypal.
Kwanini PAYPAL? Ninakubali kuna njia nyingi za kupokea malipo, taja njia yoyote ile lakini hakuna inayoifikia Paypal(Security & number of Customers).Hivyo,Paypal inaaminika zaidi duniania kuliko njia nyinginezo tunazozifahamu.Nilishawahi kupata a number of customers on Ebay kikwazo ikawa kwenye suala la malipo.Wateja wengi wanaimani zaidi na Paypal.So far I am grateful kwamba ninajua baadhi ya bidhaa ambazo foreign customers wanazihitaji sana(kutokana na inquiries) nilizozipata baada ya ku-list online some of the products made in Tanzania.
Kuna watanzania wengi tu mikoani huko wanazalisha na kutengeneza products nyingi na nzuri ambazo mataifa ya kigeni yanazihitaji lakini kikwazo kikubwa(Opportunity here!) ni kukosa access ya international market.
Kuna tabia ya watanzania kupuuza technology,kugopa technology,na wengine may be inatokana na kukosa taarifa na uelewa wa fursa zitokanazo na technology(Computer & Internet ….) au kubweteka na old model of doing things(Business as usual)
Pia viongozi wetu wengi wanasisitiza kilimo pekee.Bila kuangalia upanuzi wa masoko.Tunahitaji vyote kulima,kufuga,viwanda na kupanua masoko hasa mosoko ya nje(kimataifa).Technology imekua,Dunia imebadilika nasi tubadilike.
Sio kila mmoja lazima aishie kulima na kufuga pekee; japo kulima na kufuga ni muhimu,tunahitaji kufikiria mbali na mbele zaidi.
Nina imani serikali hii ni sikivu,pia nina imani itasikia na kutenda.Zaidi ni imani yangu kwa Mr. President Dr. Magufuli. Tusikubali kuendelea kupoteza fedha na ajira huku majirani zetu Kenya ,Mozambique wakiendelea kuneemeka na kunufaika na hii fursa.
Niseme tu kwamba mimi na vijana wenzangu(wanaojitambua) tupo tayari kutoa ushirikiano wa aina yoyote,wakati wowote,kwa taasisi/shirika lolote na kwa wakati wowote ili kuhakikisha nchi yetu inanufaika na hii fursa(E-commerce) ambayo itakuawa ni mkombozi wa ajira kwa vijana wengi zaidi na kuliingizia taifa fedha nyingi za kigeni.
Kenya Wameweza na wanafanya,Mozambique wameweza na wanafanya.WHY NOT US, WHY NOT NOW?
GOD BLESS TANZANIA not Lema only-LOL!(hapa nimechomekea tu)
Nitoe mifano michache then wenzangu mtaongezea zaidi.Kuna mitandao maarufu kama EBAY na AMAZON (E-commerce platforms).Hizi sites zimetoa ajira kubwa sana kwa vijana na makampuni kwa Marekani,China,Kenya na nchi nyingine nyingi duniani.
Utajiuliza hapa kwanini watanzania hawauzi na kunufaika na haya masoko makubwa duniani EBAY,AMAZON and the like?
JIBU: Ni mfumo wa malipo. Ukiwa Tanzania huwezi kupokea malipo toka nchi nyingine kwa kutumia Paypal.Kwa kifupi ni kwamba nchi yetu bado haijaruhusu kupokea fedha kwa njia ya PAYPAL kutoka nchi nyingine duniani.Hivyo,ukiwa Tanzania Unaruhusiwa tuu KUTUMA(one way) kwa njia ya Paypal.
Kwanini PAYPAL? Ninakubali kuna njia nyingi za kupokea malipo, taja njia yoyote ile lakini hakuna inayoifikia Paypal(Security & number of Customers).Hivyo,Paypal inaaminika zaidi duniania kuliko njia nyinginezo tunazozifahamu.Nilishawahi kupata a number of customers on Ebay kikwazo ikawa kwenye suala la malipo.Wateja wengi wanaimani zaidi na Paypal.So far I am grateful kwamba ninajua baadhi ya bidhaa ambazo foreign customers wanazihitaji sana(kutokana na inquiries) nilizozipata baada ya ku-list online some of the products made in Tanzania.
Kuna watanzania wengi tu mikoani huko wanazalisha na kutengeneza products nyingi na nzuri ambazo mataifa ya kigeni yanazihitaji lakini kikwazo kikubwa(Opportunity here!) ni kukosa access ya international market.
Kuna tabia ya watanzania kupuuza technology,kugopa technology,na wengine may be inatokana na kukosa taarifa na uelewa wa fursa zitokanazo na technology(Computer & Internet ….) au kubweteka na old model of doing things(Business as usual)
Pia viongozi wetu wengi wanasisitiza kilimo pekee.Bila kuangalia upanuzi wa masoko.Tunahitaji vyote kulima,kufuga,viwanda na kupanua masoko hasa mosoko ya nje(kimataifa).Technology imekua,Dunia imebadilika nasi tubadilike.
Sio kila mmoja lazima aishie kulima na kufuga pekee; japo kulima na kufuga ni muhimu,tunahitaji kufikiria mbali na mbele zaidi.
Nina imani serikali hii ni sikivu,pia nina imani itasikia na kutenda.Zaidi ni imani yangu kwa Mr. President Dr. Magufuli. Tusikubali kuendelea kupoteza fedha na ajira huku majirani zetu Kenya ,Mozambique wakiendelea kuneemeka na kunufaika na hii fursa.
Niseme tu kwamba mimi na vijana wenzangu(wanaojitambua) tupo tayari kutoa ushirikiano wa aina yoyote,wakati wowote,kwa taasisi/shirika lolote na kwa wakati wowote ili kuhakikisha nchi yetu inanufaika na hii fursa(E-commerce) ambayo itakuawa ni mkombozi wa ajira kwa vijana wengi zaidi na kuliingizia taifa fedha nyingi za kigeni.
Kenya Wameweza na wanafanya,Mozambique wameweza na wanafanya.WHY NOT US, WHY NOT NOW?
GOD BLESS TANZANIA not Lema only-LOL!(hapa nimechomekea tu)