Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Mbona paypal inafanya kazi. Unschotakiwa kuwa nacho ni usd account and must be internet enabled.
♂️naenda zimbobo.
♂️naenda zimbobo.
♂️naenda zimbobo.sasa unadhani hapa patasaidia mkuu?
ila nia na madhumuni yangu ilikua tu haijalishi nnchi yako ina udhaifu gani ,hakuna kusikokua na udhaifu tujitahidi kutoikashifu.
tufikishe maoni na ujumbe tu.
hapa ndio kwetu hata tukipaita Tanzagiza... tujitahidi kauli nzuri hata jirani zetu wasizidi kututoa maana
uwe na usiku mwema mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekosa online jobs nyingi pamoja na kuuza vitabu online maana platform nyingi zinataka paypal LAKINI paypal Tz haikubali kupokea hela, inauma sana, basi nawaomba BOT mtusaidie kwa hili.
Hao wabunge wanalipwa mil. 5 kwa mwez sasa izo deal za online za kuingiza dolla 5 kwa siku atazijulia wapiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
ule mkopo wako wa tsh elfu hamsini uliouomba huku jf ulishaupata?sasa unadhani hapa patasaidia mkuu?
ila nia na madhumuni yangu ilikua tu haijalishi nnchi yako ina udhaifu gani ,hakuna kusikokua na udhaifu tujitahidi kutoikashifu.
tufikishe maoni na ujumbe tu.
hapa ndio kwetu hata tukipaita Tanzagiza... tujitahidi kauli nzuri hata jirani zetu wasizidi kututoa maana
uwe na usiku mwema mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
tunaogopa msije mkaletewa ela na mabepari mje kuvuruga nchiBado wapo zama za mawe.
-Kaveli-
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Payoneer kadi iyo hapo nimetumiwa last week. Ninaweza kununua chochote kwenye Internet na pia kupokea pesa kutoka kwa mtu yeyote duniani.
Ha ha ha ha..ule mkopo wako wa tsh elfu hamsini uliouomba huku jf ulishaupata?
nilishawahi lipia kwa paypal na ikaenda ila kutumiwa bado, ila wakenya wana ile inaitwa pesapal vile vile,hii inakera kinoma kuna vihela nina vikosa kwasababu hii,ujue paypal inaaminiwa zaidi sasa sijui kwanini tz hawairuhusu.
kenya unaweza pokea mpunga toka paypal to mpesa(na mpesa yao ya kibabe si mchezo)
Na kitu wanakosea sana ni kuwa ni rahisi mtu kutuma hela direct from bank account kwenda nje kuliko kuwithdraw cash from foreign country. Yaan ndo maana Tsh haipandi bei kwani wachache ndo wananunua hii local currency ila wangeruhusu watu tupige dola huko tuna draw kwa Tsh means demand ya Tsh currency ingeongezeka. Sasa wanachofanya ni kushusha shilling kwani wengi tunanunua dola na tukitaka kupata Tsh inakuwa ngumu.Tz ecomy won't grow unless we update our e-commerce regulations.
Sent using Jamii Forums mobile app
longtimeule mkopo wako wa tsh elfu hamsini uliouomba huku jf ulishaupata?
Heshima kwenu wanaJF...
Wakuu, kuhusu kupokea pesa kwa PayPal nchini Tanzania, status ni ipi?
Watanzania wengi walijaribu kuwasiliana na PayPal management kuhusu kuruhusu upokeaji wa pesa Tanzania. Majibu ya PayPal ni kwamba wao hawana tatizo, ila shida kubwa ni pale B.o.T penye PhD holders 17 !!
Inasemekana kuwa majirani zetu Kenya wanaingiza kipato via Paypal bila zengwe yoyote.
Kwa Tanzania a.k.a Tanzagiza... What's the latest ground so far?
-Kaveli-
Unaweza kuta ww ndo muhusika(mkwamishaji mwenyewe)kwani mkifikisha ujumbe bila malalamiko kwamba mbona fulani anacho inakuagaje?
mkileta hoja isiyo na mifano ya ulazima tunapungua nini?
ifike mahala liletwe pendekezo tu lisielemee upande mmoja...
mara Tanzagiza mara nini... Grow up Mkuu!!!
Hoja hata ikiwa ina mantiki lakini ikishawekwa malalamiko na malawama yasiyo na msingi inapoteza ladha kabisa.
Hivi Wa Tz tupoje?
Sent using Jamii Forums mobile app