Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,962
Heshima kwenu wanaJF...
Wakuu, kuhusu kupokea pesa kwa PayPal nchini Tanzania, status ni ipi?
Watanzania wengi walijaribu kuwasiliana na PayPal management kuhusu kuruhusu upokeaji wa pesa Tanzania. Majibu ya PayPal ni kwamba wao hawana tatizo, ila shida kubwa ni pale B.o.T penye PhD holders 17 !!
Inasemekana kuwa majirani zetu Kenya wanaingiza kipato via Paypal bila zengwe yoyote.
Kwa Tanzania a.k.a Tanzagiza... What's the latest ground so far?
-Kaveli-
Wakuu, kuhusu kupokea pesa kwa PayPal nchini Tanzania, status ni ipi?
Watanzania wengi walijaribu kuwasiliana na PayPal management kuhusu kuruhusu upokeaji wa pesa Tanzania. Majibu ya PayPal ni kwamba wao hawana tatizo, ila shida kubwa ni pale B.o.T penye PhD holders 17 !!
Inasemekana kuwa majirani zetu Kenya wanaingiza kipato via Paypal bila zengwe yoyote.
Kwa Tanzania a.k.a Tanzagiza... What's the latest ground so far?
-Kaveli-