Kumbuka kufanya utafiti wa historia ya atokako. Usije pangisha jambazi ukawa umempa funguo. Ukitoka kwenda kazini urudi na kukuta nyumba nyeupe na uliowaacha naye wamefungwa kamba...
Leo nimesikia taarifa redioni, kuwa majambazi wamekuja na trick ya kuwarubuni wadada wa kazi kimapenzi na kutoa ahadi kibao ili wapate access na nyumba za matajiri zao... Very shocking, be wary of who you are welcoming.
Otherwise, wastaarabu wako wengi tu, utafanikiwa kumpata ukiwa makini.
All the best.