Paulo Chacha ana akili timamu?

Paulo Chacha ana akili timamu?

Mwenendo na kauli pamoja na vitendo vya Aliyekuwa RC wa Tabora, ndugu Paulo Chacha, havionyeshi kama mtu huyo anazo akili timamu

Amefanya madudu mengi mno, lakini hill la kumshitaki Msichana kwa madai ya kumtongoza ni uthibitisho wa mashaka yetu, huyo hawezi kuwa mzima, bila shaka ni mwehu

Sijawahi kusikia mtu kashitakiwa kwa kutongoza, hii kwangu ni ya kwanza (Bali wengi hushitakiwa kwa kubaka)

Mnadhani huyu RC wa zamani anazo akili timamu?
Mpenda sifa na anataka kujiona mtu wa maana na makini, huu ni kutumia madaraka yake vibaya na kumdharirisha huyo binti. Hizi sarakasi wanazozifanya kwa kutaka sifa ilihali wanawaumiza wanyonge ipo siku watajuta.
 
Sikujua huyu mzee ni mtu wa ovyo
Mbona wanaume tunatongozwa wengi lakin hatumsemi mwanamke

Kama humtaki si umkatae kimya kimya sio lazima
Halafu binti alimwambia kabsaa "najua wewe ni mwanaume ushanielewa" angemwelewesha kistaarabu binti Mimi nimeoa hayo mambo sipo tayar kufanya basi

Hii itafanya wanawake waogope kuelezea hisia zao au hawaruhusiwi kupenda na wao

Baadhi ya wanaume acheni ushamba
 
Mwenendo na kauli pamoja na vitendo vya Aliyekuwa RC wa Tabora, ndugu Paulo Chacha, havionyeshi kama mtu huyo anazo akili timamu

Amefanya madudu mengi mno, lakini hill la kumshitaki Msichana kwa madai ya kumtongoza ni uthibitisho wa mashaka yetu, huyo hawezi kuwa mzima, bila shaka ni mwehu

Sijawahi kusikia mtu kashitakiwa kwa kutongoza, hii kwangu ni ya kwanza (Bali wengi hushitakiwa kwa kubaka)

Mnadhani huyu RC wa zamani anazo akili timamu?
I wish ningekuwa Rais. Hadi muda huu ningekuwa nimeshamtimua kwenye hiyo nafasi. Kiufupi hana sifa.
 
Sio kosa, ila akikutaza ukarudia kumtongoza ni kosa Ina fall in sexual harassment case,ni kesi za kawaida sana in western countries ndio maana watu wanajua kufunga break wakikataliwa
Bado ameonesha uzumbukuku tu.Mwanaume ni ugumu/uvumilivu/kutolopoka/kutunza mambo na kupuuza usiyoyataka.Ndiyo maana kuna "Adam's apple"!Anajiweka lainilaini na dhalili mnoo!
 
Mwenendo na kauli pamoja na vitendo vya Aliyekuwa RC wa Tabora, ndugu Paulo Chacha, havionyeshi kama mtu huyo anazo akili timamu

Amefanya madudu mengi mno, lakini hill la kumshitaki Msichana kwa madai ya kumtongoza ni uthibitisho wa mashaka yetu, huyo hawezi kuwa mzima, bila shaka ni mwehu

Sijawahi kusikia mtu kashitakiwa kwa kutongoza, hii kwangu ni ya kwanza (Bali wengi hushitakiwa kwa kubaka)

Mnadhani huyu RC wa zamani anazo akili timamu?
Wewe ndiyo unamshangaa huyo M-ccm mmoja kukosa akili? Mbona maccm yote ni hamnazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom