Yule pweza PAUL mtabiri mashuhuri kule Ujerumani aliewahi kutabiri matokea ya world cup amefariki dunia usiku wa jana kwenye Aquarium huko Ujerumani.
bold, font kubwa red kisa nini Paulo kafa?? kafawizi mtupu acha kupotasha wadau wa JF
bold, font kubwa red kisa nini Paulo kafa?? kafa