3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Habari wadau wa sport.
Kumekuwa na tetesi za kiungo Paul Pogba kuhitaji kuondoka pale MANCHESTER UTD, huku akitakiwa sana na klabu kama Barcelona, Psg na Juventus ambako ndiko ubora wake umeonekana vzr.
Pogba pale united sio kwamba anakosa wachezaji wazuri laah!! Ila anakosa kocha mwenye mfumo mzuri wa kumtumia kama alivyokuwa JUVE na hata anavyocheza Ufaransa timu yake ya taifa ambayo ameisaidi kuipa world cup.
Kocha Jose Mourinho amekuwa na mbinu na mfumo ambao sio tu unamshinda Pogba ila hata wachezaji wengine ..(mfano player kama HERRERA, LINGARD, MATA wanapewa majukumu ya kukaba dakika zote sawa na Pogba ambapo sasa timu inakosa mchezaji huru uwanjani.. hii inafanya hata LUKAKU kuvuka zone ya kati na kufata mpira nyuma.. hivyo timu inakuwa haijabalance.
Aina ya player kama POGBA sio wa kupewa majukumu ya kukaba kila muda badala ya kutumia muda mwingi kuwa na mpira ili apandishe mashambulizi kwa striker na winger zake.
Ndio maana anatajwa ZIDANE kuja pale OT.. ifikie wkt tukubali soka limebadilika.
Kumekuwa na tetesi za kiungo Paul Pogba kuhitaji kuondoka pale MANCHESTER UTD, huku akitakiwa sana na klabu kama Barcelona, Psg na Juventus ambako ndiko ubora wake umeonekana vzr.
Pogba pale united sio kwamba anakosa wachezaji wazuri laah!! Ila anakosa kocha mwenye mfumo mzuri wa kumtumia kama alivyokuwa JUVE na hata anavyocheza Ufaransa timu yake ya taifa ambayo ameisaidi kuipa world cup.
Kocha Jose Mourinho amekuwa na mbinu na mfumo ambao sio tu unamshinda Pogba ila hata wachezaji wengine ..(mfano player kama HERRERA, LINGARD, MATA wanapewa majukumu ya kukaba dakika zote sawa na Pogba ambapo sasa timu inakosa mchezaji huru uwanjani.. hii inafanya hata LUKAKU kuvuka zone ya kati na kufata mpira nyuma.. hivyo timu inakuwa haijabalance.
Aina ya player kama POGBA sio wa kupewa majukumu ya kukaba kila muda badala ya kutumia muda mwingi kuwa na mpira ili apandishe mashambulizi kwa striker na winger zake.
Ndio maana anatajwa ZIDANE kuja pale OT.. ifikie wkt tukubali soka limebadilika.