Santana Mlelwa
Member
- Dec 23, 2016
- 60
- 26
Utakuwa na matatizo ya akili mtoa mada!nenda milembe mapema
Wenye matatizo ya akili ni wale wanaompinga Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kwa taifa hili.Utakuwa na matatizo ya akili mtoa mada!nenda milembe mapema
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Yaan sasa hivi usipowasha data hata dakika mbili Unaweza kukuta hata nchi imebadilishwa jina!! Tujitahidi kuwa online jaman!! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mweeee....jipange upyaMimi nadhani wengi hawajimuelewa magufuli,alipowaambia awamu yake ni ya kuwatumikia watu na si maneno maneno,tena akarudia kwa kisukuma kwa msisitizo •yaani onene ndhoho•
Hawajumuelewa na inaelekea wengi walidhani huyu JPM ni business as usual [emoji95]
Huyu jamaa ana nia ya mabadiliko ya kweli na hataki habari za kuishi kwa siasa za kujijengea mitandao ndani ya chama halafu inaota mapembe!
Amejifunza kutokana na aliyoyashuhudia mtandao unaponyukana ndani ya chama na kukiondoa kwenye dira ya maendeleo inabaki kujipanga namna ya kunyakua madaraka,badala ya kulitumikia taifa [emoji1241]
SI KAFUNGULIWA KESI ....MAHAKAMANI ....SI ATAITWA MAHAKAMANI ....NGOJA TUONE ?
OVA
Utawala huu ni mgumu kwa sababu tunatawaliwa na kichaa yani chizi kabisa ..kazi ni kutumbua na kuteua hadi sasa hakuna hakuna chochote alichofanya chenye kinamuingizia mchicha mezani mtanzania...
Kuna machizi wenzake watakuja kumtetea soonUtawala huu ni mgumu kwa sababu tunatawaliwa na kichaa yani chizi kabisa ..kazi ni kutumbua na kuteua hadi sasa hakuna hakuna chochote alichofanya chenye kinamuingizia mchicha mezani mtanzania...
Kitendo cha makonda cha kuwachafua vijana wenzake kitakuja kumtokea puani, ni suala la muda tu, sasa hivi anaishi kwa hofu kama digidigi
Acha mawazo mgando na akili tegemezi wewe!Utawala huu ni mgumu kwa sababu tunatawaliwa na kichaa yani chizi kabisa ..kazi ni kutumbua na kuteua hadi sasa hakuna hakuna chochote alichofanya chenye kinamuingizia mchicha mezani mtanzania...
Halafu.... chunga sana unachoandika. Tuna kuona na tunakufuatilia! Huwezi kumtukana Rais wa nchi kwa kumuita chizi na kichaa!Utawala huu ni mgumu kwa sababu tunatawaliwa na kichaa yani chizi kabisa ..kazi ni kutumbua na kuteua hadi sasa hakuna hakuna chochote alichofanya chenye kinamuingizia mchicha mezani mtanzania...
Yapi hayo mambo ya ajabu aliyofanya? Taja moja tu ambalo litaniletea mimi mchicha mezani..watu tumechoka na maneno tunataka kuona vitu...kumsifia ujinga tu..bora hata mkae kimya mnakeraAcha mawazo mgando na akili tegemezi wewe!
Kama Watanzania wana mawazo kama yako, basi mbona kazi bado ipo!
Unataka Rais Magufuli akuletee chakula nyumbani kwako?
Rais Magufuli amefanya mambo mengi sana ambayo watangulizi wake hata robo tu hawakufikia.
Maisha utayaona magumu sana kipindi hichi sababu kama ulitegemea kupata kipato kwa kupiga dili basi andika maumivu. Sasa hivi "dili" hakuna tena. Tafuta kazi ya kufanya ya kukuingizia kipato halali na usitegemee Rais atakuletea "mchicha na unga wa mahindi" nyumbani kwako.
Hahaha hahaha sijawahi kutishwa sitishikagi..tena usinipangie...hyo ndio hali halisi badala mumsaidie apone mnanitisha...mpeni huduma upesi...wewe si unatuma ujumbe kwa wahusika...kabla ujumbe haujashughulikikwa mie ntakuwa nshakushughurikia...Halafu.... chunga sana unachoandika. Tuna kuona na tunakufuatilia! Huwezi kumtukana Rais wa nchi kwa kumuita chizi na kichaa!
Nautuma huu ujumbe wako kwa wanaohusika ili wajue namna watakavyokushughulikia. This is too much. Enough is enough. Lazima tuheshimiane sasa.
Ukumbuke na kufanya kazi lakini, usijejikuta unapoteza muda wa kuzalisha kitu fulani chenye faida kwako, eti kwa sababu tu hutaki kupitwa na habari fulani mpya.Yaan sasa hivi usipowasha data hata dakika mbili Unaweza kukuta hata nchi imebadilishwa jina!! Tujitahidi kuwa online jaman!! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ungesema wasiwe wasaliti pia kwa maslahi yao binafsi
Clouds watajipanga upya, yataisha.
Magufuli oyeeeee
Makonda oyeeee
Ha ha ha wewe ni kibokoHata Michael Scofield tulimpa vyeo kumuita best Actor ever in the world baadae tukasikia kumbe choko.