Paul Makonda: The untouchable one, the chosen one

Son of Gamba

JF-Expert Member
Oct 26, 2012
4,720
6,956
Rais Magufuli amethibisha kuwa yeye ni mtu makini, mwenye msimamo usioyumba, huyu ni Amiri jeshi mkuu hasa, mwenye maamuzi magumu, Rais asiyeangalia sura ya mtu wala ukubwa wa jina la mtu, wala cheo chake, wala historia yake.

Ukiingia kwenye kumi na nane zake, hakuachi, anakumaliza. Watoto wa mjini wanasema; anakuchinjia baharini!

Wengi waliokwenda kinyume na matakwa ya Rais Magufuli wameishia kutumbuliwa bila kujali majina yao wala historia ya familia zao. Mkumbuke Anne Kilango Malecela, Kitwanga na leo ilikuwa zamu ya Nape Nnauye, kama utani vile, ametumbuliwa kwa kwenda kinyume na matakwa ya Boss wake.

Kosa kubwa la Nape ni kujiingiza kwenye vita isiyomuhusu na kuanza kuropoka. Nape hakujua kama Makonda ni “The Untouchable one”, hata siku moja huwezi kusema na kuropoka kuwa “The Untouchable” ameinajisi wizara yako! Hili ni kosa kubwa sana.

Mtu mmoja aliwahi kusema; if you can’t fight them, join them. Licha ya kuwa Nape ni mtoto wa mjini, lakini hakulitambua hili. Sasa amebakiwa na kiti chake cha ubunge tu.

Ushauri wangu kwa Nape, achunge sana mdomo wake; sababu this WAR is not over yet. This is just the beginning of another Episode! Mtoto wa Kimakonde, haya ni maji mazito sana kwako! Ukiendelea kubwabwaja, unaweza kupoteza sifa ya kuteuliwa na chama chako kugombea ubunge ikifika 2020. Kumbuka kuwa mwenyekiti wa chama ni huyu huyu nahodha asiyeangalia sura, John Pombe Magufuli!

Baada ya Nape, sasa wamebakia akina Gwajima na CLOUDS MEDIA. Hawa hakuna namna watachomoka mbele ya Mkuu! Hivi sasa wanachukuliwa “timing” tu. Mkuu ni kama “Sterling” kwenye hii movie na siku zote “Sterling hauwawi” lazima atashinda tu.

Kwa mbali nawaona CLOUDS wakifutika kwenye ramani ya Tanzania. CLOUDS wametumbukia kwenye vita wasiyoweza kushinda. Nahodha wa meli aliwapenda sana hapo mwanzo, lakini walipomchafua “The Untouchable One” hapo ndipo walipokosea. CLOUDS ni wadogo sana mbele ya “Nahodha wa Meli” na mbele ya “THE UNTOUCHABLE”.

Kuna kitu watu wengi hawakijui, hata siku moja huwezi kuwa “Enemy of the State” na ukaibuka mshindi, “always the State wins”. Wazungu wana msemo wao; “There are a thousand ways of killing a dog”

Makonda siyo mtu wa mchezo mchezo, Makonda anajua anachokifanya, tena uzuri ni kwamba Makonda yupo chini ya Nahodha katili, shupavu, asiyeangalia wala kusikia cha mtu yeyote yule. Nahodha huyu yupo tayari kumtosa baharini baharia wake yeyote yule atakayeonekana hataki kufuata maelekezo yake. Huu ni msimamo dhabiti hasa, kwani ukiwaacha mabaharia wasiotaka kukutii, unaweza kuhatarisha usalama wako na wa Meli unayoiongoza.

Ushauri wangu kwa wale wote wanaofanya kazi chini ya Rais Magufuli, ni lazima wafanye kama anavyotaka yeye ama sivyo kama hawataki, waachie ngazi wenyewe.

Binafsi namuunga mkono Rais Magufuli katika kazi yake.

Chapa kazi Magufuli, chapa kazi wala usitetemeke!
 
Mimi nadhani wengi hawajimuelewa magufuli,alipowaambia awamu yake ni ya kuwatumikia watu na si maneno maneno,tena akarudia kwa kisukuma kwa msisitizo •yaani onene ndhoho•

Hawajumuelewa na inaelekea wengi walidhani huyu JPM ni business as usual

Huyu jamaa ana nia ya mabadiliko ya kweli na hataki habari za kuishi kwa siasa za kujijengea mitandao ndani ya chama halafu inaota mapembe!

Amejifunza kutokana na aliyoyashuhudia mtandao unaponyukana ndani ya chama na kukiondoa kwenye dira ya maendeleo inabaki kujipanga namna ya kunyakua madaraka,badala ya kulitumikia taifa
 
SI KAFUNGULIWA KESI ....MAHAKAMANI ....SI ATAITWA MAHAKAMANI ....NGOJA TUONE ?

OVA
 
Rais Magufuli amethibisha kuwa yeye ni mtu makini, mwenye msimamo usioyumba, huyu ni Amiri jeshi mkuu hasa, mwenye maamuzi magumu, Rais asiyeangalia sura ya mtu wala ukubwa wa jina la mtu, wala cheo chake, wala historia yake.

Ukiingia kwenye kumi na nane zake, hakuachi, anakumaliza. Watoto wa mjini wanasema; anakuchinjia baharini!

Wengi waliokwenda kinyume na matakwa ya Rais Magufuli wameishia kutumbuliwa bila kujali majina yao wala historia ya familia zao. Mkumbuke Anne Kilango Malecela, Kitwanga na leo ilikuwa zamu ya Nape Nnauye, kama utani vile, ametumbuliwa kwa kwenda kinyume na matakwa ya Boss wake.

Kosa kubwa la Nape ni kujiingiza kwenye vita isiyomuhusu na kuanza kuropoka. Nape hakujua kama Makonda ni “The Untouchable one”, hata siku moja huwezi kusema na kuropoka kuwa “The Untouchable” ameinajisi wizara yako! Hili ni kosa kubwa sana.

Mtu mmoja aliwahi kusema; if you can’t fight them, join them. Licha ya kuwa Nape ni mtoto wa mjini, lakini hakulitambua hili. Sasa amebakiwa na kiti chake cha ubunge tu.

Ushauri wangu kwa Nape, achunge sana mdomo wake; sababu this WAR is not over yet. This is just the beginning of another Episode! Mtoto wa Kimakonde, haya ni maji mazito sana kwako! Ukiendelea kubwabwaja, unaweza kupoteza sifa ya kuteuliwa na chama chako kugombea ubunge ikifika 2020. Kumbuka kuwa mwenyekiti wa chama ni huyu huyu nahodha asiyeangalia sura, John Pombe Magufuli!

Baada ya Nape, sasa wamebakia akina Gwajima na CLOUDS MEDIA. Hawa hakuna namna watachomoka mbele ya Mkuu! Hivi sasa wanachukuliwa “timing” tu. Mkuu ni kama “Sterling” kwenye hii movie na siku zote “Sterling hauwawi” lazima atashinda tu.

Kwa mbali nawaona CLOUDS wakifutika kwenye ramani ya Tanzania. CLOUDS wametumbukia kwenye vita wasiyoweza kushinda. Nahodha wa meli aliwapenda sana hapo mwanzo, lakini walipomchafua “The Untouchable One” hapo ndipo walipokosea. CLOUDS ni wadogo sana mbele ya “Nahodha wa Meli” na mbele ya “THE UNTOUCHABLE”.

Kuna kitu watu wengi hawakijui, hata siku moja huwezi kuwa “Enemy of the State” na ukaibuka mshindi, “always the State wins”. Wazungu wana msemo wao; “There are a thousand ways of killing a dog”

Makonda siyo mtu wa mchezo mchezo, Makonda anajua anachokifanya, tena uzuri ni kwamba Makonda yupo chini ya Nahodha katili, shupavu, asiyeangalia wala kusikia cha mtu yeyote yule. Nahodha huyu yupo tayari kumtosa baharini baharia wake yeyote yule atakayeonekana hataki kufuata maelekezo yake. Huu ni msimamo dhabiti hasa, kwani ukiwaacha mabaharia wasiotaka kukutii, unaweza kuhatarisha usalama wako na wa Meli unayoiongoza.

Ushauri wangu kwa wale wote wanaofanya kazi chini ya Rais Magufuli, ni lazima wafanye kama anavyotaka yeye ama sivyo kama hawataki, waachie ngazi wenyewe.

Binafsi namuunga mkono Rais Magufuli katika kazi yake.

Chapa kazi Magufuli, chapa kazi wala usitetemeke!


Wakati tunamchaguwa Rais tulitegemea aongoze kwa usawa. tulimuchaguwa Rais atuongoze lakini pia atusikilize kwa kuwa Tanzania ni yetu wote. Hatukumuuzia nchi, nchi ni yetu wote, ni ya Watanzania wote, asituondolea haki zetu kwaajili ya kumpendelea mtu mmoja. Sheria ya vyeti basi iwe kwa wote, wanafunzi wamefukuzwa mashuleni, kwa vyeti feki, wafanyakazi wamefukuzwa kazi kwaajili ya vyeti, Watanzania tulisifu na kuona sawa kabisa, lakini alipoanza kuchaguwa na kumkingia kifua Mkuu wa mkowa, mwenye kuaminika ametumia vyeti feki, mwenye kuvunja sheria kuwa harass Watanzania wenzake kwa kutumia cheo chake, na mabunduki ya umma. Mkuu mwenye mali ambazo hawezi kuelezea kazipataje, na bado Rais kumtetea na kumfukuza kazi Waziri anayepigania haki, hii imewaumiza wengi sana.

Nikiwa mmojawapo aliyekuwa na matumaini makubwa na serikali ya Rais Magufuli si mimi tu ni wengi, Sasa tuna mashaka makubwa na serikali, masikitika haitaleta mabadiliko yoyote. Watanzania Tabu zetu zinaendelea vile vile kama zamani. Nampongeza WazirinNape kwa kutetea haki, cheo ni dhamana, waliokuwa madarakani Leo kesho watanyatuka, na historia yao itawajaji. Unyonge wa Watanzania wa kuongozwa kama ng'ombe na ukimya tulionao hautusaidii. Ndiyo maana according to UN Watanzania ni watu wenye majonzi makubwa duniani ingawaje nchi yetu ina utulivu, lakini utulivu na ukimya huu unatuuwa pole pole kama cancer kwa ajili ya utawala mbovu.
 
Rais Magufuli amethibisha kuwa yeye ni mtu makini, mwenye msimamo usioyumba, huyu ni Amiri jeshi mkuu hasa, mwenye maamuzi magumu, Rais asiyeangalia sura ya mtu wala ukubwa wa jina la mtu, wala cheo chake, wala historia yake.

Ukiingia kwenye kumi na nane zake, hakuachi, anakumaliza. Watoto wa mjini wanasema; anakuchinjia baharini!

Wengi waliokwenda kinyume na matakwa ya Rais Magufuli wameishia kutumbuliwa bila kujali majina yao wala historia ya familia zao. Mkumbuke Anne Kilango Malecela, Kitwanga na leo ilikuwa zamu ya Nape Nnauye, kama utani vile, ametumbuliwa kwa kwenda kinyume na matakwa ya Boss wake.

Kosa kubwa la Nape ni kujiingiza kwenye vita isiyomuhusu na kuanza kuropoka. Nape hakujua kama Makonda ni “The Untouchable one”, hata siku moja huwezi kusema na kuropoka kuwa “The Untouchable” ameinajisi wizara yako! Hili ni kosa kubwa sana.

Mtu mmoja aliwahi kusema; if you can’t fight them, join them. Licha ya kuwa Nape ni mtoto wa mjini, lakini hakulitambua hili. Sasa amebakiwa na kiti chake cha ubunge tu.

Ushauri wangu kwa Nape, achunge sana mdomo wake; sababu this WAR is not over yet. This is just the beginning of another Episode! Mtoto wa Kimakonde, haya ni maji mazito sana kwako! Ukiendelea kubwabwaja, unaweza kupoteza sifa ya kuteuliwa na chama chako kugombea ubunge ikifika 2020. Kumbuka kuwa mwenyekiti wa chama ni huyu huyu nahodha asiyeangalia sura, John Pombe Magufuli!

Baada ya Nape, sasa wamebakia akina Gwajima na CLOUDS MEDIA. Hawa hakuna namna watachomoka mbele ya Mkuu! Hivi sasa wanachukuliwa “timing” tu. Mkuu ni kama “Sterling” kwenye hii movie na siku zote “Sterling hauwawi” lazima atashinda tu.

Kwa mbali nawaona CLOUDS wakifutika kwenye ramani ya Tanzania. CLOUDS wametumbukia kwenye vita wasiyoweza kushinda. Nahodha wa meli aliwapenda sana hapo mwanzo, lakini walipomchafua “The Untouchable One” hapo ndipo walipokosea. CLOUDS ni wadogo sana mbele ya “Nahodha wa Meli” na mbele ya “THE UNTOUCHABLE”.

Kuna kitu watu wengi hawakijui, hata siku moja huwezi kuwa “Enemy of the State” na ukaibuka mshindi, “always the State wins”. Wazungu wana msemo wao; “There are a thousand ways of killing a dog”

Makonda siyo mtu wa mchezo mchezo, Makonda anajua anachokifanya, tena uzuri ni kwamba Makonda yupo chini ya Nahodha katili, shupavu, asiyeangalia wala kusikia cha mtu yeyote yule. Nahodha huyu yupo tayari kumtosa baharini baharia wake yeyote yule atakayeonekana hataki kufuata maelekezo yake. Huu ni msimamo dhabiti hasa, kwani ukiwaacha mabaharia wasiotaka kukutii, unaweza kuhatarisha usalama wako na wa Meli unayoiongoza.

Ushauri wangu kwa wale wote wanaofanya kazi chini ya Rais Magufuli, ni lazima wafanye kama anavyotaka yeye ama sivyo kama hawataki, waachie ngazi wenyewe.

Binafsi namuunga mkono Rais Magufuli katika kazi yake.

Chapa kazi Magufuli, chapa kazi wala usitetemeke!

Mkuu una akili xana. Ila kwenye paragraph ya 10 ile uliyoanza na Makonda kule mwishoni ulipaanza Sentensi ya Nahodha... Kama sijakusoma.
Huwezi kubishana na Karma, Matakwa na mapenzi ya Utawala lazima yaaenziwe na kuthaminiwa hata kama hupendi.

Hebu tujifunze hata katika Maandiko yetu Matakatifu jinsi Mwenyezi Mungu alivyowapenda na kuwatunuku mamlaka Makubwa baadhi ya watu na akawapa majina Manabii (acha hawa waongo wa Leo), alitia maneno midomoni mwao, wakayasema kwa watu na tumetakiwa kuyatii. Watu nao waliwatumia hao Manabii kufikasha maombi yao kwa Mungu naye aliwatimizia matakwa yao. Na walio wapinga waliangamia Mfano watu wa Nabii Nuhu.
Mfano tu leo hii kwa Waislamu ili dua yako ikamilike na ifike Mbinguni wamefundishwa lazima kumtakia Rehema na Amani Mtume Muhammad (S. A. W) , Wakristo nao lazima wamtaje Yesu na dini zingine kadhalika.

Hii inatufundisha hata ktk maisha yetu ya kawaida, Watoto ktk familia, Wake wenza, Watumishi katika ofisi n. k, kuna mmoja wao akisema kwa baba, mume au boss hapingwi na hata akifanya tofauti kidogo hufunikwa. HIVYO hatupaswi kuwapinga au kuweka nao ligi tutakwama, Yatupasa kuwapa Support tu ili mambo yetu yaende vema.
 
Hapa Kazi tu...insubordination shall never be to.lerated....Our Way OR the Highway..
Was this really in subordination?Sidhani.Kama ni hitilafu na kati ya mhalifu Makonda na waziri mwenye dhamana ya habari,Nauye
 
Kwa hiyo watu wasifuate sheria na taratibu wafuate anavyotaka boss? hatari sana.
Taratibu na sheria zipi?

Tanzania tumekuwa wanafiki sana kwa kujifanya tunajua sana "taratibu na sheria" wakati nchi inazidi kudidimia wakati hizo sheria zipo.

Sasa ni bora zaidi Magufuli aiendeshe nchi kwa utashi wake kuliko hizo sheria za kipuuzi mnazosema.

Tulitamani sana tupate Rais mwenye msimamo mkali kama huyu na tumempata. Wenye akili zetu, tunafurahia sababu dua yetu imesikiwa.

Chapa kazi Rais Magufuli, chapa kazi Rc Makonda. Watanzania tupo pamoja na nyie.
 
Back
Top Bottom