Paul Makonda, nakutabiria Urais au Uwaziri Mkuu huko mbele ya safari

Muju4

JF-Expert Member
Oct 27, 2014
5,489
7,445
Kwanza nianze na pongezi nzito kwakuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam..hii inaonesha ni namna gani bidii katika kazi huzaa matunda,sikuwa na shaka kuwa utapata uteuzi huu kwasababu Mh. Rais alishakuahidi siku alipokuwa akiongea na wazee wa Dar es salaam na kwakuwa Mh. Rais ni mtu makini ni lazima awajue watu makini kama yeye.Rai yangu kwako sasa uendeleze kasi yako ile ile maana mjuhudikaji hulipwa kutokana na juhudi zake,wahudumie watu wa Dar es salaam kwa umakini Mkubwa na Mungu atakulipa KIKUBWA zaidi ya HICHI......narudia tena Hongera sana na kua nafasi kubwa mbele yako hapo baadae wale wote wanaokuangalia kwa jicho la HUSUDA Mungu ataendelea kuwaonesha kuwa wewe ni mtu makini na kwa mabaya watakayo kuombea Mungu atakubariki ili waendelee kushangaa
 
Makonda ameonyesha uwezo wake wa public leadership he deserves the accolades yeyote anaona uwezo wake wa kubuni namna za kutatua kero.
 
Kwanza nianze na pongezi nzito kwakuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam..hii inaonesha ni namna gani bidii katika kazi huzaa matunda,sikuwa na shaka kuwa utapata uteuzi huu kwasababu Mh. Rais alishakuahidi siku alipokuwa akiongea na wazee wa Dar es salaam na kwakuwa Mh. Rais ni mtu makini ni lazima awajue watu makini kama yeye.Rai yangu kwako sasa uendeleze kasi yako ile ile maana mjuhudikaji hulipwa kutokana na juhudi zake,wahudumie watu wa Dar es salaam kwa umakini Mkubwa na Mungu atakulipa KIKUBWA zaidi ya HICHI......narudia tena Hongera sana na kua nafasi kubwa mbele yako hapo baadae wale wote wanaokuangalia kwa jicho la HUSUDA Mungu ataendelea kuwaonesha kuwa wewe ni mtu makini na kwa mabaya watakayo kuombea Mungu atakubariki ili waendelee kushangaa


Bwahahahahahah atakuwa raisi hahahahahahahaa au waziri mkuu hahahahah

Maybe maana kuna raisi manzese siku hizi mara raisi wa wasafi hata maraisi wa majumbani wapo pia
 
Kwanza nianze na pongezi nzito kwakuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam..hii inaonesha ni namna gani bidii katika kazi huzaa matunda,sikuwa na shaka kuwa utapata uteuzi huu kwasababu Mh. Rais alishakuahidi siku alipokuwa akiongea na wazee wa Dar es salaam na kwakuwa Mh. Rais ni mtu makini ni lazima awajue watu makini kama yeye.Rai yangu kwako sasa uendeleze kasi yako ile ile maana mjuhudikaji hulipwa kutokana na juhudi zake,wahudumie watu wa Dar es salaam kwa umakini Mkubwa na Mungu atakulipa KIKUBWA zaidi ya HICHI......narudia tena Hongera sana na kua nafasi kubwa mbele yako hapo baadae wale wote wanaokuangalia kwa jicho la HUSUDA Mungu ataendelea kuwaonesha kuwa wewe ni mtu makini na kwa mabaya watakayo kuombea Mungu atakubariki ili waendelee kushangaa
Wewe funza walio kutafunana utotoni mwako naona waliingia mpaka kwenye sehemu ya ubongo wako
 
Fikira za kitoto sn!! Kuna walimu wananyoosha watoro shuleni ila hawafai hata kuwa Maafisa Elimu!!

Sembuse Ukuu wa Mkoa/Wilaya wa kupewa kwa kutekeleza Mipango/mikakati ya CCM na siyo ya Nchi/Taifa.

Tofautisha cheo cha kupewa na cheo cha kupigiwa kura na raia karne ya 21!!
 
Tujenge utamaduni wa ku acknowledge juhudi za watu Makonda ni aina ya viongozi tunaowahitaji ni mbunifu sana na ni mchapa kazi hodarii..chuki dhidi yake ni udhalimu mkubwa tumuuge mkono kijana mwenzetu
Anawatabiria wenzake wakati yeye anafunga mkaja,teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh
 
Tujenge utamaduni wa ku acknowledge juhudi za watu Makonda ni aina ya viongozi tunaowahitaji ni mbunifu sana na ni mchapa kazi hodarii..chuki dhidi yake ni udhalimu mkubwa tumuuge mkono kijana mwenzetu
Wewe endekeza njaa itakuuwa
 
Bwahahahahahah atakuwa raisi hahahahahahahaa au waziri mkuu hahahahah

Maybe maana kuna raisi manzese siku hizi mara raisi wa wasafi hata maraisi wa majumbani wapo pia
Ndugu kila anaye juhudika hulipwa pakubwa its matter of time huyu kijana mwenzetu tutamuona na kutambua vizuri kipaji chake
 
Back
Top Bottom