Anahoji, kama wangechukua maoni ya rasimu ya mapendekezo ya Walioba kwa asilimia 100,wao wajumbe walienda kufanya ninibungeni, kupiga mihuli?
Anadai kiongozi anayemvutia tz ni prof. Wa kichina jk
Huyo jamaa ni tapeli nguli.... hana jipya elimu ya kuunga unga.. kadisco kama mara tatu hivi... watu waliosoma Muccobs miaja ya 2007 wanamjua jama Feki pastor
Huyo mbowe wako hata maana ya GPA haijui