Mheshimiwa_Mtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 288
- 215
Naanza kwa kuwambumbusha jinsi Mh. Makonda alivyofanikiwa kuhakikisha Dar ni shwari na Salama.
Mh. Makonda kwa wasiomjua ni memba wa TISS na amefanikiwa kuwa karibu na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulizi na usalama kwa miaka hii mitano.
Wote tunajua juhudi zake ndizo zilimpa promotion aliyekuwa RPC wa Dar kipindi hicho Afande Sirro hata kuwa IGP.
Mh. Makonda huyu ndiye aliyeanzisha operation kadhaa ambazo vingozi wengi wakubwa walishindwa kama vile madawa ya kulevya na akawatia mbaroni vigogo hadi leo wanajuta.
Wote tunajua Mh. Makonda akiamua jambo hashindwi na hakuna wa kumzuia, yeye ni one man army.
Ni ukweli kuwa wizara ya mambo ya ndani imechezewa sana kwa awamu karibu tatu sasa za uongozi. Mfano mdogo tu ni awamu hii ya JPM tangu Mwigulu, Kangi na hata Simhachawene hakuna utendahi makini ji brabrabraaa tuu.
Mh. Makonda ameandaliwa kwa ajili ya wizara hii, tujiandae na tumtakie kila la kheri.
Huu sio utabiri ni hakika.
Asanteni
Mh. Makonda kwa wasiomjua ni memba wa TISS na amefanikiwa kuwa karibu na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulizi na usalama kwa miaka hii mitano.
Wote tunajua juhudi zake ndizo zilimpa promotion aliyekuwa RPC wa Dar kipindi hicho Afande Sirro hata kuwa IGP.
Mh. Makonda huyu ndiye aliyeanzisha operation kadhaa ambazo vingozi wengi wakubwa walishindwa kama vile madawa ya kulevya na akawatia mbaroni vigogo hadi leo wanajuta.
Wote tunajua Mh. Makonda akiamua jambo hashindwi na hakuna wa kumzuia, yeye ni one man army.
Ni ukweli kuwa wizara ya mambo ya ndani imechezewa sana kwa awamu karibu tatu sasa za uongozi. Mfano mdogo tu ni awamu hii ya JPM tangu Mwigulu, Kangi na hata Simhachawene hakuna utendahi makini ji brabrabraaa tuu.
Mh. Makonda ameandaliwa kwa ajili ya wizara hii, tujiandae na tumtakie kila la kheri.
Huu sio utabiri ni hakika.
Asanteni