Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana.
Akizungumza jijini Arusha jana Machi 11, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema mfuko huo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yenye lengo la kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya habari, sanaa na ubunifu.
Alisema, awali Wizara ilikuwa imepangiwa Sh20 bilioni lakini baada ya mazungumzo na Benki ya CRDB, kiwango hicho kimeongezwa na kufikia jumla Sh50 bilioni ili kupanua wigo wa vijana watakaonufaika na mfuko huo.
Alieleza kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni tarehe rasmi ya uzinduzi wa mfuko huo, ambapo baada ya uzinduzi fedha hizo zitaanza kutolewa kwa vijana waliopo katika sekta ya habari, sanaa na ubunifu ili kuwawezesha kukuza kazi zao na kuchochea maendeleo ya uchumi wa Taifa.
“Wizara inapanga kuzindua rasmi mfuko huo katika hafla maalum inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni, ambapo Rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.”
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana.
Akizungumza jijini Arusha jana Machi 11, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema mfuko huo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yenye lengo la kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya habari, sanaa na ubunifu.
Alisema, awali Wizara ilikuwa imepangiwa Sh20 bilioni lakini baada ya mazungumzo na Benki ya CRDB, kiwango hicho kimeongezwa na kufikia jumla Sh50 bilioni ili kupanua wigo wa vijana watakaonufaika na mfuko huo.
Alieleza kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni tarehe rasmi ya uzinduzi wa mfuko huo, ambapo baada ya uzinduzi fedha hizo zitaanza kutolewa kwa vijana waliopo katika sekta ya habari, sanaa na ubunifu ili kuwawezesha kukuza kazi zao na kuchochea maendeleo ya uchumi wa Taifa.
“Wizara inapanga kuzindua rasmi mfuko huo katika hafla maalum inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni, ambapo Rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.”
Mambo ya fedha za Wizara si ni mpaka Bajeti ijadiliwe na kupitishwa na bunge? Au sass hivi kila kitu kinaenda kwa maamuzi tu ya watu wachache? Mfano Kodi za magari na ushuru bandarini siku zote tunajua ni suala la kibajeti, bunge ndio linapitisha viwango na tozo, lakini sasa hivi kila siku kodi inabadilika, anayepanga sijui ni kamishna wa TRA, Abdul au Boss wa DP World.
Sasa na haya mambo ya wizara kuwa na fedha kabla hata ya bunge la bajeti. Hii si ni hatari?? Zinaingiaje na zinakaguliwaje?
Mana hakuna sekta hiyo, ubunifu ni njia ya kwrnda extra miles kwemye sekta yoyote ile iwe ya afya, kilimo, nk. Makomda mpaka kuwekwa pale ni mkakati ule, hizo h3la zinaenda sekta ya ubunifu mtaan huzioni! Utawqona wadudu wa arusha wanacheza na mabodaboda mi3z miwili hela zimeisha
Mana hakuna sekta hiyo, ubunifu ni njia ya kwrnda extra miles kwemye sekta yoyote ile iwe ya afya, kilimo, nk. Makomda mpaka kuwekwa pale ni mkakati ule, hizo h3la zinaenda sekta ya ubunifu mtaan huzioni! Utawqona wadudu wa arusha wanacheza na mabodaboda mi3z miwili hela zimeisha
Mana hakuna sekta hiyo, ubunifu ni njia ya kwrnda extra miles kwemye sekta yoyote ile iwe ya afya, kilimo, nk. Makomda mpaka kuwekwa pale ni mkakati ule, hizo h3la zinaenda sekta ya ubunifu mtaan huzioni! Utawqona wadudu wa arusha wanacheza na mabodaboda mi3z miwili hela zimeisha
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana.
Akizungumza jijini Arusha jana Machi 11, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema mfuko huo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yenye lengo la kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya habari, sanaa na ubunifu.
Alisema, awali Wizara ilikuwa imepangiwa Sh20 bilioni lakini baada ya mazungumzo na Benki ya CRDB, kiwango hicho kimeongezwa na kufikia jumla Sh50 bilioni ili kupanua wigo wa vijana watakaonufaika na mfuko huo.
Alieleza kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni tarehe rasmi ya uzinduzi wa mfuko huo, ambapo baada ya uzinduzi fedha hizo zitaanza kutolewa kwa vijana waliopo katika sekta ya habari, sanaa na ubunifu ili kuwawezesha kukuza kazi zao na kuchochea maendeleo ya uchumi wa Taifa.
Mambo ya fedha za Wizara si ni mpaka Bajeti ijadiliwe na kupitishwa na bunge? Au sass hivi kila kitu kinaenda kwa maamuzi tu ya watu wachache? Mfano Kodi za magari na ushuru bandarini siku zote tunajua ni suala la kibajeti, bunge ndio linapitisha viwango na tozo, lakini sasa hivi kila siku kodi inabadilika, anayepanga sijui ni kamishna wa TRA, Abdul au Boss wa DP World.
Sasa na haya mambo ya wizara kuwa na fedha kabla hata ya bunge la bajeti. Hii si ni hatari?? Zinaingiaje na zinakaguliwaje?
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana.
Akizungumza jijini Arusha jana Machi 11, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema mfuko huo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yenye lengo la kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya habari, sanaa na ubunifu.
Alisema, awali Wizara ilikuwa imepangiwa Sh20 bilioni lakini baada ya mazungumzo na Benki ya CRDB, kiwango hicho kimeongezwa na kufikia jumla Sh50 bilioni ili kupanua wigo wa vijana watakaonufaika na mfuko huo.
Alieleza kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni tarehe rasmi ya uzinduzi wa mfuko huo, ambapo baada ya uzinduzi fedha hizo zitaanza kutolewa kwa vijana waliopo katika sekta ya habari, sanaa na ubunifu ili kuwawezesha kukuza kazi zao na kuchochea maendeleo ya uchumi wa Taifa.
“Wizara inapanga kuzindua rasmi mfuko huo katika hafla maalum inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni, ambapo Rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.”
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetenga mfuko wenye Sh50 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaojihusisha na sekta ya ubunifu nchini, hatua inayolenga kukuza uchumi wa ubunifu na kutoa fursa zaidi za kiuchumi kwa vijana.
Akizungumza jijini Arusha jana Machi 11, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda alisema mfuko huo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yenye lengo la kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya habari, sanaa na ubunifu.
Alisema, awali Wizara ilikuwa imepangiwa Sh20 bilioni lakini baada ya mazungumzo na Benki ya CRDB, kiwango hicho kimeongezwa na kufikia jumla Sh50 bilioni ili kupanua wigo wa vijana watakaonufaika na mfuko huo.
Alieleza kuwa kwa sasa kinachosubiriwa ni tarehe rasmi ya uzinduzi wa mfuko huo, ambapo baada ya uzinduzi fedha hizo zitaanza kutolewa kwa vijana waliopo katika sekta ya habari, sanaa na ubunifu ili kuwawezesha kukuza kazi zao na kuchochea maendeleo ya uchumi wa Taifa.
“Wizara inapanga kuzindua rasmi mfuko huo katika hafla maalum inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni, ambapo Rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.”
Huyo tapeli alipokuwa mkuu wa mkoa wa Arusha aliwadanganya kuwa atapeleka wanafunzi 1,000 kusoma India, akaitisha hadi usaili. Kumbe ilikuwa gia ya kugombea ubunge. Hadi leo hakuna mwanafunzi amepelekwa huko India. Hicho anachosema sasa ni mundelezo wa utapeli huo huo.