nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 647
- 1,013
Ukiwa muombaji utaelewa nin nasema. Ombea viongozi wa taifa hili Ni wajibu utajua Nini nasema ,kwa wanadamu wenye Imani na Mungu, tunapanga bila hofu, na Mungu anatupangia na ndivyo ilivyo
Ukiwa muombaji utaelewa nin nasema. Ombea viongozi wa taifa hili Ni wajibu utajua Nini nasema ,kwa wanadamu wenye Imani na Mungu, tunapanga bila hofu, na Mungu anatupangia na ndivyo ilivyo
hilo liko bayana kabisaa, na sio mwaka huu ni mwakani ππππ Hivi unagombea tena mwaka huu?? Nimekwambia nipe mpunga nikusaidie kukupigia kampeni unaringa, shauri yako hautorudi jimboni we haya.!
Kwani alisema atakutajia wewe na mmeo? au tunasubiri wewe na nani?Hii si habari,tinasubiri ataje list ya mawaziri wanaomtukana mama.
Arsenal wamenivuruga mpk nimechanganya mafile!! Kumbe ni mwakani uchaguzi πhilo liko bayana kabisaa, na sio mwaka huu ni mwakani π
basi nikipata kibali cha uhai na afya njema tena, Baraka na Neema za Mungu, nitakuepo tena kwenye debe 2025 kikamilifu, kuthibitishwa tena na wanainchi ambao kwakweli wana Imani kubwa sana nami na chama changu, lakini pia wanashauku kubwa mno kuongozwa nami π
ni suala la muda tu, mimi pamoja na Dr.Samia Suluhu Hassan na wengineo watakao chaguliwa, kuendelea kuaminiwa na Watanzania kwa mujibu wa sheria π
God bless Tanzania π
Sote viongozi na wanainchi yatupasa kuombeane Mema daima,Ukiwa muombaji utaelewa nin nasema. Ombea viongozi wa taifa hili Ni wajibu utajua Nini nasema ,
Wakutane hiyo 2025 kwenye wizi wa kura!Ndugu zangu Watanzania,
Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa .
Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.
Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka .
Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.
Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mungu hajatuumba hivyo kamwe. Lazima mwingine awe kwa ajir ya wengine. Kuwa beba kwa maombi na asitambulike kamwe ndivyo ilivyo. Mungu hukaa gizani anasema utashangaa nae Ni Nuru.Sote viongozi na wanainchi yatupasa kuombeane Mema daima,
lakini pia tusisahau kujiombea wenyewe, na familia zetu, Neema na Baraka za Mungu katika maisha, kazi na majukumu yetu ya kila siku
apo kwa akina Arsenal dah, hurumae π€£Arsenal wamenivuruga mpk nimechanganya mafile!! Kumbe ni mwakani uchaguzi π
Lakini ukumbuke ulipita bila kupingwa mtumishi, mwakani haipo hiyo!! ππππ
Ndugu zangu Watanzania,
Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa .
Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.
Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka .
Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.
Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzimaWakutane hiyo 2025 kwenye wizi wa kura!
Ndugu zangu Watanzania,
Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka
Huo ni mtizamo wakoMimi nimeishia kusoma hapaπ
Tangu lini wewe ulileta habari mpya zaidi ya kusifia sifia tu
Acha tu nacheka ila nna machungu walichokifanya Arsenal leo π€£π€£π€£apo kwa akina Arsenal dah, hurumae π€£
we we we, no no no.......
mie sie wa kupita bila kupingwa, ila hua ni aibu tu na fedheha wanapataga wale wa pande ile ingine wa kushindana na mimi, lakini pia hutengwa na jamii kwa muda Fulani kwamba wanapinga maendeleo yale ambayo tumefanya pamoja π
so,
people are free to challenge me and of course to compete me kwa debe π
Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, na wala hapendi mtu yeyote apotee bali wote wapokee toba πMungu hajatuumba hivyo kamwe. Lazima mwingine awe kwa ajir ya wengine. Kuwa beba kwa maombi na asitambulike kamwe ndivyo ilivyo. Mungu hukaa gizani anasema utashangaa nae Ni Nuru.
Wewe unaweza ukaomba lakini usijibiwe na ukaona umejibiwa. Mwingine anaweza akaomba kwa ajir yako akajibiwa na hujibiw sbb hutaki kuacha maovu ila aliye acha anajibiwa.
Sasa ombea viongozi wa taifa hili Mungu atakupa ajenda akiwafunua tabia zao na matendo yao ili UWEZE kuomba labda Mungu atawarehemu hivo wakati mwingine ukiona Mtu ana dunda pengine Ni sbb Mungu kampa mda labda atatubu.
Ndo maana nasema ingekuwa vizuri akasema MUNGU AKIPENDA 2025. lakini kwa kuwa hajui Wala hajafundishwa Wala simuhukumu na hata Mungu hamuhukumu mtu. Anasafar ngumu ye achekelee tu.kuna mda wa furaha na upo wa majonzi
hata Liverfool nao wamefungwa kidimodomo kama simbwa jana πAcha tu nacheka ila nna machungu walichokifanya Arsenal leo π€£π€£π€£
Kwenye debe mtumishi hutoboi kwanza wananchi wako wenyewe unaenda kuwatembelea kipindi cha kukaribia uchaguzi unafikiri watakubali wakuchague??