Paul Makonda asema tukutane 2025

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hivi unagombea tena mwaka huu?? Nimekwambia nipe mpunga nikusaidie kukupigia kampeni unaringa, shauri yako hautorudi jimboni we haya.!
hilo liko bayana kabisaa, na sio mwaka huu ni mwakani πŸ’

basi nikipata kibali cha uhai na afya njema tena, Baraka na Neema za Mungu, nitakuepo tena kwenye debe 2025 kikamilifu, kuthibitishwa tena na wanainchi ambao kwakweli wana Imani kubwa sana nami na chama changu, lakini pia wanashauku kubwa mno kuongozwa nami πŸ’

ni suala la muda tu, mimi pamoja na Dr.Samia Suluhu Hassan na wengineo watakao chaguliwa, kuendelea kuaminiwa na Watanzania kwa mujibu wa sheria πŸ’

God bless Tanzania πŸ’
 
hilo liko bayana kabisaa, na sio mwaka huu ni mwakani πŸ’

basi nikipata kibali cha uhai na afya njema tena, Baraka na Neema za Mungu, nitakuepo tena kwenye debe 2025 kikamilifu, kuthibitishwa tena na wanainchi ambao kwakweli wana Imani kubwa sana nami na chama changu, lakini pia wanashauku kubwa mno kuongozwa nami πŸ’

ni suala la muda tu, mimi pamoja na Dr.Samia Suluhu Hassan na wengineo watakao chaguliwa, kuendelea kuaminiwa na Watanzania kwa mujibu wa sheria πŸ’

God bless Tanzania πŸ’
Arsenal wamenivuruga mpk nimechanganya mafile!! Kumbe ni mwakani uchaguzi πŸ˜…

Lakini ukumbuke ulipita bila kupingwa mtumishi, mwakani haipo hiyo!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mama ni Chaguo kutoka kwa Mungu
Hakuna nguvu itakayoweza kumyumbisha Jemedari Jabali letu Mwanazuoni Samia Suluhu Hassan
Yamkini watesi wake wanaungana kumchafua ila jina lake litaendelea kung'ara kwenye mioyo ya watanzania
kwako Lucas Mwashambwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa .

Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.

Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka .

Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.

Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Wakutane hiyo 2025 kwenye wizi wa kura!
 
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mama Samia Suluhu Hassani
Pili niungane na wewe kububujikwa na machozi hadi 2025
 
Sote viongozi na wanainchi yatupasa kuombeane Mema daima,

lakini pia tusisahau kujiombea wenyewe, na familia zetu, Neema na Baraka za Mungu katika maisha, kazi na majukumu yetu ya kila siku
Mungu hajatuumba hivyo kamwe. Lazima mwingine awe kwa ajir ya wengine. Kuwa beba kwa maombi na asitambulike kamwe ndivyo ilivyo. Mungu hukaa gizani anasema utashangaa nae Ni Nuru.

Wewe unaweza ukaomba lakini usijibiwe na ukaona umejibiwa. Mwingine anaweza akaomba kwa ajir yako akajibiwa na hujibiw sbb hutaki kuacha maovu ila aliye acha anajibiwa.

Sasa ombea viongozi wa taifa hili Mungu atakupa ajenda akiwafunua tabia zao na matendo yao ili UWEZE kuomba labda Mungu atawarehemu hivo wakati mwingine ukiona Mtu ana dunda pengine Ni sbb Mungu kampa mda labda atatubu.

Ndo maana nasema ingekuwa vizuri akasema MUNGU AKIPENDA 2025. lakini kwa kuwa hajui Wala hajafundishwa Wala simuhukumu na hata Mungu hamuhukumu mtu. Anasafar ngumu ye achekelee tu.kuna mda wa furaha na upo wa majonzi
 
Arsenal wamenivuruga mpk nimechanganya mafile!! Kumbe ni mwakani uchaguzi πŸ˜…

Lakini ukumbuke ulipita bila kupingwa mtumishi, mwakani haipo hiyo!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
apo kwa akina Arsenal dah, hurumae 🀣

we we we, no no no.......
mie sie wa kupita bila kupingwa, ila hua ni aibu tu na fedheha wanapataga wale wa pande ile ingine wa kushindana na mimi, lakini pia hutengwa na jamii kwa muda Fulani kwamba wanapinga maendeleo yale ambayo tumefanya pamoja πŸ’

so,
people are free to challenge me and of course to compete me kwa debe πŸ’
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa .

Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.

Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka .

Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.

Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Screenshot_2024-02-29-07-56-10-583_com.android.chrome~3.jpg
 
apo kwa akina Arsenal dah, hurumae 🀣

we we we, no no no.......
mie sie wa kupita bila kupingwa, ila hua ni aibu tu na fedheha wanapataga wale wa pande ile ingine wa kushindana na mimi, lakini pia hutengwa na jamii kwa muda Fulani kwamba wanapinga maendeleo yale ambayo tumefanya pamoja πŸ’

so,
people are free to challenge me and of course to compete me kwa debe πŸ’
Acha tu nacheka ila nna machungu walichokifanya Arsenal leo 🀣🀣🀣

Kwenye debe mtumishi hutoboi kwanza wananchi wako wenyewe unaenda kuwatembelea kipindi cha kukaribia uchaguzi unafikiri watakubali wakuchague??
 
Mungu hajatuumba hivyo kamwe. Lazima mwingine awe kwa ajir ya wengine. Kuwa beba kwa maombi na asitambulike kamwe ndivyo ilivyo. Mungu hukaa gizani anasema utashangaa nae Ni Nuru.

Wewe unaweza ukaomba lakini usijibiwe na ukaona umejibiwa. Mwingine anaweza akaomba kwa ajir yako akajibiwa na hujibiw sbb hutaki kuacha maovu ila aliye acha anajibiwa.

Sasa ombea viongozi wa taifa hili Mungu atakupa ajenda akiwafunua tabia zao na matendo yao ili UWEZE kuomba labda Mungu atawarehemu hivo wakati mwingine ukiona Mtu ana dunda pengine Ni sbb Mungu kampa mda labda atatubu.

Ndo maana nasema ingekuwa vizuri akasema MUNGU AKIPENDA 2025. lakini kwa kuwa hajui Wala hajafundishwa Wala simuhukumu na hata Mungu hamuhukumu mtu. Anasafar ngumu ye achekelee tu.kuna mda wa furaha na upo wa majonzi
Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, na wala hapendi mtu yeyote apotee bali wote wapokee toba πŸ’

ukihuisha nafsi yako vema kwa toba na msamaha, na roho mtakatifu akawa ndani yako bara-bara, akajenga makao yake ndani ya Roho na mwili wako, hiyo itakua ndio njia pekee rahisi sana kwa wewe kuskia na kutambua sauti ya wito wa Mungu katika maisha yako, katika kazi, majukumu na kila ufanyalo πŸ’

maisha yako ni sauti,
Je ni sauti ya nani, ya wito gani umeiskia na kuifuata hata uko na maisha hayo πŸ’

ni uamuzi wako kutege sikio vyema na kuskia sauti sahihi na wito sahihi katika maisha yako πŸ’

ingekua Heri leo muisikie Sauti yangu, msifanye migumu mioyo yenu πŸ’
 
Hii n post yangu ya kwanza humu jf,ila n ya pili kukuhusu wewe humu mitandaon, Huwa nakufuatilia sana Kila hatua ya maendeleo Yako kisiasa,dhumuni langu kwa ujumbe huu,nikuendelea kukupa moyo nakukuombea mema kwa M/Mungu siku zote,naona mbele huko utakuja kuwa mbunge-waziri na hata zaidi.....
 
Acha tu nacheka ila nna machungu walichokifanya Arsenal leo 🀣🀣🀣

Kwenye debe mtumishi hutoboi kwanza wananchi wako wenyewe unaenda kuwatembelea kipindi cha kukaribia uchaguzi unafikiri watakubali wakuchague??
hata Liverfool nao wamefungwa kidimodomo kama simbwa jana πŸ’

mtumishi,
mimi daima nipo kwa wanainchi, na hivi karibuni nimehitimisha sehemu kubwa sana kuwatembelea, na kwakweli time imeenda.

Apo dar tunakuja sana, but kwa muda mrefu tuko huko kwa wanainchi,

na hakuna kuzubaa, coz tayari wengi wameanza kuzengea zengea, but binafsi nipo rada mbaya sana nipo chonjo nimejipanga ile mbaya...

nitakula nao sahani moja, nitakwenda nao sambamba bila mbambamba mpaka kieleweke. una far nchezo nin πŸ’
 
Back
Top Bottom