Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 2,483
- 5,624
Huyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
Nchi yenye wajinga wengi si ajabu mchinga zaidi akainuliwa na wajinga wenzake kuwaongoza wajinga kijinga!Huyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
I think so. But my friends thinks I'm intelligent and stupid at the same time.Are you normal?
NomaNchi yenye wajinga wengi si ajabu mchinga zaidi akainuliwa na wajinga wenzake kuwaongoza wajinga kijinga!
Werevu hamtaki siasa mko bize na mambo yenu sasa unategemea niniNchi yenye wajinga wengi si ajabu mchinga zaidi akainuliwa na wajinga wenzake kuwaongoza wajinga kijinga!
Ukifanikiwa ndoto zako teua watu wa maanaWerevu hamtaki siasa mko bize na mambo yenu sasa unategemea nini
Acha hao wanaoitwa wajinga wachangamkie fursa za kwenye siasa ikiwemo uongozi
Makonda kuwa waziri mkuu hata urais sitashangaa hata kidogo
Acha dharauHuyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
Haiwezi kuwa asema BwanaHuyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
Hiyo Inawezekana tu kama NCHIMBI hatakuwa mgombea mwenza!Huyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
Labda waziri Mkuu wa BURUNDIHuyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
Na iwe hivyoHiyo Inawezekana tu kama NCHIMBI hatakuwa mgombea mwenza!
Makonda hawezi kuwa waziri mkuu na NCHIMBI akiwa makamu wa Rais iwapo kutakuwa na uchaguzi!!
Hata kama Samia atakuwa na mapenzi hayo kwa Makonda lazima atapingwa!!!
😄😄Labda waziri Mkuu wa BURUNDI
😂
Kwani kutoa hotuba nzuri mpaka PhD?Safari hii tunataka Mhe. Waziri Mkuu mwenye elimu ya PhD ambaye akiitwa mahali popote anaweza kutoa muhadhara bila tatizo lolote iwe kwa kiingereza au kiswahili.