Paul Makonda afunguka

Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..

Huo ni upotoshaji, huyo wala sio Paul Makonda....Huyo kijana anaitwa Deo ni mdogo wake na Sheria Ngowi yupo ofisini pale kwa Sheria na hiyo ndiyo kazi yake kuwafanyia Wateja waendao pale.
 
Ndiye huyu anayemfunga mtoto wa mfalme kiatu
 

Attachments

  • 1424535935075.jpg
    53.3 KB · Views: 355
Namhurumia Huyu kipaza sauti! Nimeicheki kwa makini picha ya 24 Hours, niliuongopa usalama wa taifa kwa maana ya kufanya kazi na pia siasa niliichikia. Jinsi aliyepo kwenye madaraka anavyojizatiti huku anaye taka kuongia akimfanyia fitina aliye kwenye madaraka. Na anaye pigwa vita akiingia anachofanya au waoambe ni kufagia walio mpinga iwe wanausalama au wanasiasa.
Ndogo aombe awe kwenye winning side na sio losing side. Yaani MTU unafanywa tv, remote wameshikilia wengine. Don't make decisions with empty stomach.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…