Paul Makonda afunguka

Paul Makonda afunguka

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.

DSC09715.jpg
 
Naoana wanafanana na MKULU au ni DAMU ile ile................hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.

Makonda Hamuwezi Lowasa, Akakakojoe Akalale
 
naona makonda anataka kupima ubavu na lowasa
 
naona makonda anataka kupima ubavu na lowasa

Hata hivyo nguvu ya Lowasa upepo ukipita mkali sana unaweza kwenda naye hana nguvu yoyote labda hiyo ya kugawa pesa lakini kiafya ni ziro kabisa
 
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.

jamaa ana ulimi mzito kama kameza chura vile,huo ujasiri wa kuongea mbovu kwa lowassa sijui ana utoa wapi?
 
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
 
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.
 
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.

Tanzania daima ni gazeti la kutumika kama kondom tu,ukiwa na ishu ya kumchafua mtu tafuta elfu hamsini wape watafanya kazi yao ni gazeti la majuha.
 
Back
Top Bottom