Paul Kagame aliwahi kusema anataka kumpiga Kikwete

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Kwa hiyo nashangaa kuona Jakaya Kikwete anataka kuwa AU Chairperson.

Mtu kama Kikwete hawezi kusuhulisha mzozo Kama ule wa DRC.

Unakumbuka wakati wengi walifukuzwa mkoa gani sijui,baada ya kuitwa "Warundi". Kagame alichukizwa sana, akasema wale watu walionewa tu.

Raila Odinga ingekuwa vizuri angeipata Ile nafasi ya AU Chairperson.

Na sasa, there are good prospects for peace. Naona jana Walibya walikuwa wanasema wanataka kuunda serikali ya umoja was k85sifa ili ipange Uchaguzi Mkuu.

Lazima uwe serious. Unajua mabomu yanavyotengezwa? Ni Mambo ya chemistry Yale. Wanajua element hii na element Ile "zinachukiana "sana. Kwa hiyo unazichanganya tu zile.

Basi, wakipita watu wawili wanavuta sigara,wanajadiliana kuhusu ligi ya mpira daraja la kwanza,inatokea explosion pale.

Kwa hiyo ni napinga Jakaya Kikwete,ambaye inadhaniwa hapatani na Paul Kagame apewe kazi ya kusuluhisha mgogoro wa DRC.
 
Kwa hiyo nashangaa kuona Jakaya Kikwete anataka kuwa AU Chairperson.

Mtu kama Kikwete hawezi kusuhulisha mzozo Kama ule wa DRC.

Unakumbuka wakati wengi walifukuzwa mkoa gani sijui,baada ya kuitwa "Warundi". Kagame alichukizwa sana, akasema wale watu walionewa tu.

Raila Odinga ingekuwa vizuri angeipata Ile nafasi ya AU Chairperson.

Na sasa, there are good prospects for peace. Naona jana Walibya walikuwa wanasema wanataka kuunda serikali ya umoja was k85sifa ili ipange Uchaguzi Mkuu.

Lazima uwe serious. Unajua mabomu yanavyotengezwa? Ni Mambo ya chemistry Yale. Wanajua element hii na element Ile "zinachukiana "sana. Kwa hiyo unazichanganya tu zile.

Basi, wakipita watu wawili wanavuta sigara,wanajadiliana kuhusu ligi ya mpira daraja la kwanza,inatokea explosion pale.

Kwa hiyo ni napinga Jakaya Kikwete,ambaye inadhaniwa hapatani na Paul Kagame apewe kazi ya kusuluhisha mgogoro wa DRC.
Dogo una laana sio bure
 
Kwa hiyo nashangaa kuona Jakaya Kikwete anataka kuwa AU Chairperson.

Mtu kama Kikwete hawezi kusuhulisha mzozo Kama ule wa DRC.

Unakumbuka wakati wengi walifukuzwa mkoa gani sijui,baada ya kuitwa "Warundi". Kagame alichukizwa sana, akasema wale watu walionewa tu.

Raila Odinga ingekuwa vizuri angeipata Ile nafasi ya AU Chairperson.

Na sasa, there are good prospects for peace. Naona jana Walibya walikuwa wanasema wanataka kuunda serikali ya umoja was k85sifa ili ipange Uchaguzi Mkuu.

Lazima uwe serious. Unajua mabomu yanavyotengezwa? Ni Mambo ya chemistry Yale. Wanajua element hii na element Ile "zinachukiana "sana. Kwa hiyo unazichanganya tu zile.

Basi, wakipita watu wawili wanavuta sigara,wanajadiliana kuhusu ligi ya mpira daraja la kwanza,inatokea explosion pale.

Kwa hiyo ni napinga Jakaya Kikwete,ambaye inadhaniwa hapatani na Paul Kagame apewe kazi ya kusuluhisha mgogoro wa DRC.
Walikuwa na bifu za kibinafsi tena za kitoto

Kule Uganda mkutano wa viongozi wa jumuiya ya Afrika Mashariki viongozi wakuu wa nchi za Africa mashariki walipogundua kuwa wana bifu binafsi tena za kitoto Kikwete na Kagame waliamua kuwa waende chumba cha pembeni wawili tu pembeni na Ukumbi wakaongee wawili tu bila walinzi au yeyote waongee utoto wao na ujinga wao wa ugomvi wao wa kibinafsi usiohusu wala mambo ya kisiasa wala nchi zao .Sababu wote walikuwa na vitu vya kitoto vya kibinafsi kati yao tena vya aibu

Walitoka wakasema wameyamaliza hadi Kagame alikuja kutembelea Tanzania waliyamaliza

Bifu lao wala halikuhusu nchi ni mambo yao binafsi tena ya aibu hata kuongea ambayo wao kama viongozi wakuu hawakustahili kuwa na bifu la kipuuzi kama lile hadi ionekane kama nchi zina mgogoro
Shame on both them Kikwete na Kagame
 
Walikuwa na bifu za kibinafsi tena za kitoto

Kule Uganda mkutano wa viongozi wa jumuiya ya Afrika Mashariki viongozi wakuu wa nchi za Africa walipogundua kuwa wana bifu binafsi tena ka kitoto Kikwete na Kagame waliamua kuwa waende chumba cha pembeni wawili tu pembeni na Ukumbi wakaongee wawili tu bila walinzi au yeyote waongee utoto wao na ujinga wao wa ugomvi wao wa kibinafsi usiohusu wala mambo ya kisiasa wala nchi zao .Sababu wote walikuwa na vitu vya kitoto vya kibinafsi kati yao tena vya aibu

Walitoka wakasema wameyamaliza hadi Kagame alikuja kutembelea Tanzania waliyamaliza

Bifu lao wala halikuhusu nchi ni mambo yao binafsi tena ya aibu hata kuongea ambayo wao kama viongozi wakuu hawakustahili kuwa na bifu la kipuuzi kama lile hadi ionekane kama nchi zina mgogoro
Shame on both them Kikwete na Kagame

Kuna mtu nasikia asubuhi hakuonekana kwenye mkutano mbaya zaidi Born town naye hakuwepo kikaoni... Hahahaha jamaa akaghadhabika hadi Leo.
 
Ila Kagame angejaribu angechakazwa, JK alitumia tu busara.
Achana na hayo wote walikuwa hopeless

Mambo binafsi yalikuwa yao binafsi wajinga wawili kagame na Kikwete
Hata maraisi mara ingine waweza.kuwa na utoto na vitu vya kijinga

Kikwete na Kagame ile issue ilikuwa aibu kwa kweli

Kiswahili inaitwa watu wazima hovyooooooo

Kagame na Kikwete walikuwa watu wazima hovyooooooo kwenye ile issue nadhani sasa watakuwa wamekua utoto watakuwa hawana tena wote wana mvi wajinga wakubwa
 
Unapimaje uwezo wa jeshi?
Sio kazi ya jeshi liwe la Tanzania au Rwanda kupigana kwa ajili ya mambo binafsi ya Kijinga ya Kagame na Kikwete sema wanajeshi pande zote walielewa hakuna aliyeanzisha bifu na mwingine na viongozi maraisi wa jumuiya ya Afrika mashariki walielewa

Anyway yalishapita Kiswahili husemwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo lakini nadhani wote Kagame na Kikwete walijifunza kuwa uraisi hutakiwi kuwa na utoto na u play boy you need to grow up and to be serious after that incidence

Na naamini wote wali grow up after that incidence
 
Kwa hiyo nashangaa kuona Jakaya Kikwete anataka kuwa AU Chairperson.

Mtu kama Kikwete hawezi kusuhulisha mzozo Kama ule wa DRC.

Unakumbuka wakati wengi walifukuzwa mkoa gani sijui,baada ya kuitwa "Warundi". Kagame alichukizwa sana, akasema wale watu walionewa tu.

Raila Odinga ingekuwa vizuri angeipata Ile nafasi ya AU Chairperson.

Na sasa, there are good prospects for peace. Naona jana Walibya walikuwa wanasema wanataka kuunda serikali ya umoja was k85sifa ili ipange Uchaguzi Mkuu.

Lazima uwe serious. Unajua mabomu yanavyotengezwa? Ni Mambo ya chemistry Yale. Wanajua element hii na element Ile "zinachukiana "sana. Kwa hiyo unazichanganya tu zile.

Basi, wakipita watu wawili wanavuta sigara,wanajadiliana kuhusu ligi ya mpira daraja la kwanza,inatokea explosion pale.

Kwa hiyo ni napinga Jakaya Kikwete,ambaye inadhaniwa hapatani na Paul Kagame apewe kazi ya kusuluhisha mgogoro wa DRC.
Acha kutumia K Vant kubwa,subiri ukue kwanza,kwa sasa tumia ile ndogo!
 
Achana na hayo wote walikuwa hopeless

Mambo binafsi yalikuwa yao binafsi wajinga wawili kagame na Kikwete
Hata maraisi mara ingine waweza.kuwa na utoto na vitu vya kijinga

Kikwete na Kagame ile issue ilikuwa aibu kwa kweli

Kiswahili inaitwa watu wazima hovyooooooo

Kagame na Kikwete walikuwa watu wazima hovyooooooo kwenye ile issue nadhani sasa watakuwa wamekua utoto watakuwa hawana tena wote wana mvi wajinga wakubwa
Ilikuwa ishu gani kwani mkuu, au walikuwa wana gombania Mwanamke ?!
 
Back
Top Bottom