didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,086
- 3,547
Kapilimba, PhD kabla ya kua DGIS alikua mkurugenzi NIDA then 2019 akatolewa. Sasa hivi tetesi na duru zinaonyesha James Kaji ndo anakua next DGIS na ikumbukwe huyu jamaa alikua mkurugenzi pale NIDA pia. Kwa wataalam wa pattern naomba muje mutuchoree.