Patrobass Katambi: Ukweli utaniweka huru daima

Patrobass Katambi: Ukweli utaniweka huru daima

Huo ndio ukweli wenyewe na hata lisu ni wao ndio wamefanya hivyo chadema... amka kaka chukua kidogo mitaani changanya na yako then utapata jibu.. sio unaegemea kwenye story za mitandao na vijiweni tumia akili yako kutafakari yanayo endelea ipe akili yako kazi ya kufanya

hahahah.Na wewe unajua kuwa ni CHADEMA wamefanya.Lakini serikali na vyombo vyote vya dola vimeshindwa kuwakamata hao CHADEMA waliofanya hivyo
kudadeki.Danganyeni maiti
 
Sasa Mkuu Katambi na akina Kafulila; Lowasa na Sumaye wakiondoka CHADEMA na kurudi ccm mnapishana nao? Au ikipita miaka mitano bila mafisadi waliokimbilia Chadema kushtakiwa mtarudi tena kua Rais Magufuli hana nia ya kushughulikia rushwa? Au mnatoa picha gani?

Sisi wapiga kura wenu mnatupa wakati mgumu sana japo ni haki zenu; iweje hao watu mmepigiana nao kampeni 2015? Japo hamjasema mnachokifuata upande mwingine ni upi
 
Sasa Mkuu Katambi na akina Kafulila; Lowasa na Sumaye wakiondoka CHADEMA na kurudi ccm mnapishana nao? Au ikipita miaka mitano bila mafisadi waliokimbilia Chadema kushtakiwa mtarudi tena kua Rais Magufuli hana nia ya kushughulikia rushwa? Au mnatoa picha gani?

Sisi wapiga kura wenu mnatupa wakati mgumu sana japo ni haki zenu; iweje hao watu mmepigiana nao kampeni 2015? Japo hamjasema mnachokifuata upande mwingine ni upi
chadema imebadilika sana mkuu sio ile iliyokemea ufisadi waziwazi, sasa hivi baada ya CCM kuanza walau kwa mbali kuchukia ufisadi chadema kawa swahiba na rafiki kindakindaki na wale iliyowatuhumu yenyewe kuwa ni mafisadi jukwaaani
 
Ile siku aliyohama, aliongea kwa muda mrefu, kwa wenye kumuelewa walimuelewa, najua moto aliouwasha huko alikotoka ni mkubwa mnoo. Kuna kila ukweli kwa alichosema. Ni wakati sasa vyama vichunguzwe km kweli havina ukabila @northpole.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Mjumbe wa kamati Kuu, Mjumbe kamati ya Maadili Taifa, Patrobass Katambi amesema ukweli utamuweka huru daima,hekima na busara zake ndio zilimlazimisha kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Patrobass akiongea na Bongo5 leo amesema kuwa amekihama chama hicho bila kufafanua yaliyomtoa katika chama hicho ili kuacha haiba yao na waendelee na mfumo wao wa siasa mpya.

Sio kwamba sijawajibu, nimewajibuni kwamba asante kwa maswali yote 8 ila hekima na busara zangu zilinilazimisha kuondoka chadema na kuhamia CCM bila kufafanua yaliyonitoa ili kuacha haiba yao waendelee kwa Amani na mfumo wao wa Siasa mpya.

Ila kwakuwa CHADEMA wamenishambulia kwa UONGO kupitia Viongozi wao Wakuu niliowaheshimu sana, sasa nawapa “reasonable time” Wawathibitishie Watanzania kwa ushahidi in Public.
Ikiwa waliyonituhumu si ya kweli au wakakaa kimya bila kukanusha;

Nitalazimika kuwajibu na kutoa sasa sababu za kuhama kwangu Chadema kupitia ‘Press Conference’ nanyi mtaarikwa.

Acha tuwe wanachama wa kawaida CCM chama cha wanachama kinachoruhusu tushauri,tuwakosoe kwa staha viongozi na kuthamini vijana sio kuua vipaji vyao, kuwaburuza na kuwafanya watumwa katika Ufalme wa Misri ya Farao, kuwasaidia kujenga nchi na kudumisha Amani sio ulaghai, porojo na usanii kama huu wa kutuhumu na kuchafua kila anaeondoka Chadema kwa kutunga kashfa ili kumdharirisha mtu na utu wake bila ushahidi. Huku ni kutoheshimu haki ya kikatiba ya kuingia na Kutoka katika chama.

UKWELI UTANIWEKA HURU DAIMA na nipo tayari kulipa gharama zake hata iwe kifo kwa maslahi ya Taifa na Watuwake” Mungu ibariki Tanzania.


Patrobass Katambi
Mwanachama wa CCM.
Njaa mbaya sana. Eti vijana wanathaminiwa. Hivi vyeo vitaondoka na wengi sana.
 
Ile siku aliyohama, aliongea kwa muda mrefu, kwa wenye kumuelewa walimuelewa, najua moto aliouwasha huko alikotoka ni mkubwa mnoo. Kuna kila ukweli kwa alichosema. Ni wakati sasa vyama vichunguzwe km kweli havina ukabila @northpole.
naona mnaanza kurudisha singo ya ukabila bila kujua mnamchafua mtukufu asiyekosea
 
Chadema siwapendi sijui kwa nini? Yaani kila anayehama chadema kahongwa? Je kama kakimbia mabomu ya machozi?
 
hahahah.Na wewe unajua kuwa ni CHADEMA wamefanya.Lakini serikali na vyombo vyote vya dola vimeshindwa kuwakamata hao CHADEMA waliofanya hivyo
kudadeki.Danganyeni maiti
Wawakamate wa nini waendelee tui kuuwana kama wanavyo uwa kila anaye gombea uwenyekiti.
 
d49969e6907ba24fd8c4a4103fecb01d.jpg

Ungelijua hili alilosema Mkumbo hakika ungejitafakari
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Mjumbe wa kamati Kuu, Mjumbe kamati ya Maadili Taifa, Patrobass Katambi amesema ukweli utamuweka huru daima,hekima na busara zake ndio zilimlazimisha kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Patrobass akiongea na Bongo5 leo amesema kuwa amekihama chama hicho bila kufafanua yaliyomtoa katika chama hicho ili kuacha haiba yao na waendelee na mfumo wao wa siasa mpya.

Sio kwamba sijawajibu, nimewajibuni kwamba asante kwa maswali yote 8 ila hekima na busara zangu zilinilazimisha kuondoka chadema na kuhamia CCM bila kufafanua yaliyonitoa ili kuacha haiba yao waendelee kwa Amani na mfumo wao wa Siasa mpya.

Ila kwakuwa CHADEMA wamenishambulia kwa UONGO kupitia Viongozi wao Wakuu niliowaheshimu sana, sasa nawapa “reasonable time” Wawathibitishie Watanzania kwa ushahidi in Public.
Ikiwa waliyonituhumu si ya kweli au wakakaa kimya bila kukanusha;

Nitalazimika kuwajibu na kutoa sasa sababu za kuhama kwangu Chadema kupitia ‘Press Conference’ nanyi mtaarikwa.

Acha tuwe wanachama wa kawaida CCM chama cha wanachama kinachoruhusu tushauri,tuwakosoe kwa staha viongozi na kuthamini vijana sio kuua vipaji vyao, kuwaburuza na kuwafanya watumwa katika Ufalme wa Misri ya Farao, kuwasaidia kujenga nchi na kudumisha Amani sio ulaghai, porojo na usanii kama huu wa kutuhumu na kuchafua kila anaeondoka Chadema kwa kutunga kashfa ili kumdharirisha mtu na utu wake bila ushahidi. Huku ni kutoheshimu haki ya kikatiba ya kuingia na Kutoka katika chama.

UKWELI UTANIWEKA HURU DAIMA na nipo tayari kulipa gharama zake hata iwe kifo kwa maslahi ya Taifa na Watuwake” Mungu ibariki Tanzania.


Patrobass Katambi
Mwanachama wa CCM.
Patrobas shekeli ilikulainisha ukaanza kudukua chama chako.. Walipokustukia wakakufungia milango na kukuweka pembeni kiaina.. Hili limekuumiza sana... Mengine yote unayopanga kuongea ni mtazamo na tuhuma ambazo popote zipo... Ila iko hivi UMERUKA NDOGO UMEKANYAGA KUBWA
 
Eti hajasema kilichomtoa ili kulinda haiba ya walioko huko,aisee naombeni clip ya alipo simama kujitambulisha kuhama nione upya km hakusema kule kulikuwa nini nini na huku kuna nn
Tena utadhani kakaa miaka kumi ndani ya alikohamia maana anajua hadi kulivyotofauti na alikotoka
 
Mbona anaonekana kama nafsi inamsuta vile? Hata Yuda Iskariote alikuwa na ujasiri wa kumsaliti Yesu lakini baadaye nafsi ikamsuta na akajinyonga. Mshahara wa dhambi, ikiwemo rushwa ni mauti. Katambi asipoangalia atajinyonga kwa kusutwa na nafsi.

Wataalamu wa elimu ya Raslimali watu na Saikolojia wanasema mtu hapati tulizo na nafsi kwa pesa tu bali kuna vitu vingine vingi ikiwemo furaha ya moyo kwa kile unachokiamini. Sina uhakika kama Katambi anapata hata usingizi kwa kioja hiki alichokifanya. kama ana mke atakuwa anaona aibu hata kwa mkewe.
 
Mbona anaonekana kama nafsi inamsuta vile? Hata Yuda Iskariote alikuwa na ujasiri wa kumsaliti Yesu lakini baadaye nafsi ikamsuta na akajinyonga. Mshahara wa dhambi, ikiwemo rushwa ni mauti. Katambi asipoangalia atajinyonga kwa kusutwa na nafsi.

Wataalamu wa elimu ya Raslimali watu na Saikolojia wanasema mtu hapati tulizo la nafsi (satisfaction) kwa pesa tu bali kuna vitu vingine vingi ikiwemo furaha ya moyo kwa kile unachokiamini. Sina uhakika kama Katambi anapata hata usingizi kwa kioja hiki alichokifanya. kama ana mke atakuwa anaona aibu hata kwa mkewe.
 
Back
Top Bottom