Tukiwa wakweli kwa nafsi zetu na uelewa wetu wa akili
Africa mambo ya siasa ya vyama vingi hatuwezi zaidi kuteletea, UADUI,UKABILA,UKANDA,UMIMI,UBINAFSI, NA HASARA KUBWA YA HELA ZA UMMA ZINAZOTUMIKA KUUELA HUU MFUMO(ruzuku ya vyama,chaguzi mbali2)
ndomaana wazungu wanatudharau sana, hivi AFRICA Huwa tunamfanyia nani haya maigizo ya siasa y a vyama vyingi?? UGANDA,RWANDA,TZ,ZIMBABWE,KENYA,BURUNDI etc ni nani huwa tunamdanganya kwa kuitisha chaguzi kuu na siasa ya vyama vingi kwa kutumia mabilioni ya hela za walipa kodi, Maana kama ni kuwadanganya au kuwafurahisha wazungu (EU na US,ofcourse China na Russia are'nt interested) sidhani kama huwa wanadanganyika/kufurahia zaidi ya kutuona sisi ma ZWAZWA,
NA KAMA HUWA NI SHINIKIZO, IFIKIE KIPINDI WAAFRICA TUJUE NINI KINATUFAA NINI HAKIFAI
(binafsi naona hili la siasa ya vyama vingi (despites faida zake) sisi bado hatujawa tayari, linatuletea migawanyiko na hasara kubwa sana......) Tafakari....
Nin maoni yako