barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,803
Petrobas alitaka fursa ya kutotumika kama KARAI. Alitaka awe groomed and nurtured kuja kuwa kiongozo sio kufunzwa kuchukua tu orders za "kubeba mchanga kwenye karai".
KAMA MWENYEKITI WA VIJANA CHADEMA KAHAMIA CCM NI AIBU KWA SASA VIJANA KUBAKI HUKO
Dah, huyu jamaa kweli imewauma!
Na kibaya zaidi ndo kwanza yuko kwenye DAWN na sio TWILIGHT kama wale waliokuja ufipa. Imewauma sana chadema hii.
Akili ndogo huwezi muelewa alimaanisha nini hapa!Mm Katambi kanishangaza sana,Hv upinzani una serikali mpaka upewa fursa??
Fursa anayosemea Katambi n zipi??
Kuwa kiongozi mkubwa kabisa wa Bavicha Taifa siyo fursa????
Upinzani hauna serikali labda tungesema pengine angeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa/wilaya,Katibu tawala Mkoa/wilaya au Mkurugenzi sasa mbaya zaid upinzn hauna serikali na haina nafasi kama hizo........
In short alikiwa mwenyekiti garasa tu, mfumo wa chadema ulimlazimisha awe hivyo!Mkuu hebu jibu hoja yake hiyo ya fursa , je ni kweli hakupewa fursa? na huko ccm kuna fursa gani kwa wanaohamia?
Please ccm kijana anataka fursa huyo mzee amtafutie nafasi yoyote ili maisha yaendeleeWaafrica itatuchukua karne nyingi sana kuja kustaarabika.
Please ccm kijana anataka fursa huyo mzee amtafutie nafasi yoyote ili maisha yaendelee
\Katambi njaa inamsumbua
Uko sahihi mkuu. Muda wa kutafuta fursa (kuji-position) kisiasa ni sasa. Hawa akina katambi, mkumbo, masha,.....washaona nafasi finyu ya upinzani kuchukua dola 2020. Kwa hivyo wanajiposition CCM ili 2020 wakutwe wameshazoeleka ili wakwae nafasi za uongozi.Wanasiasa wooote wanaangalia fursa ya matumbo yao....haijalishi wapo chama gani.......
Hivyo kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine kusaka fursa sio ajabu
Nae Nyalandu ni njaa au nini mkuu!!Njaa ni mbaya sana ,kila mtu anathamini tumbo lake kwanza then mengine yanafata
katambi na wale madiwani wa arumeru hakuna tofauiti, kachukua chake na amefanya kwa mujibu wa makubaliano. CHADEMA itasonga mbele!ni kweli,
Hasa kama umeamua kufanya siasa ndo kazi ya kukupatia kipato na chakula..................
Upinzani hakufai
Nyalandu kaona maisha katika Mwanga ulio bora. Anataka kwenda peponi na njia ni Chadema.Nae Nyalandu ni njaa au nini mkuu!!