SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Napenda kuwajulisha kuwa Mtanzania wenzetu ametoa kitabu kizuri sana kiitwacho SUPU YA ELIMU.
Kitabu hiki ni Muongozo, Dira na Barabara anayotakiwa kupita mtu ili aweze kupata mafanikio makubwa katika kuielekea Elimu na kuhakikisha kuwa kazi yake ya kusoma kwa ngazi zote za elimu anaitekeleza ipasavyo.
Napenda kuwajulisha kuwa Mtanzania wenzetu ametoa kitabu kizuri sana kiitwacho SUPU YA ELIMU.
Kitabu hiki ni Muongozo, Dira na Barabara anayotakiwa kupita mtu ili aweze kupata mafanikio makubwa katika kuielekea Elimu na kuhakikisha kuwa kazi yake ya kusoma kwa ngazi zote za elimu anaitekeleza ipasavyo.