Kama uko nje ya Zanzibar utachangia usafiri kidogo.
Ila kama uko mikoa ya mbali sikushauri kuagiza bidhaa moja ya bei rahisi mana itaku-cost usafiri na mda(labda kama kuna mtu anasafiri kuja uliko),ambapo ukipiga mahesabu unaweza pata uliko kwa bei isiyotofautiana sana na huku.