mmasi jackson
Member
- Apr 10, 2014
- 68
- 23
Hii ni shidaaah!!!!!hako kam moja na nusu nafanyia mambo kibao!!!!mtaji huo unahamishia kwenye simu tu..galaxy s yangu yanitosha mie......hizo ukiagizia china hazizidi dola 260
Mkuu....hiyo saa umevaa kama wale jamaa wanaopigiwa debe na Obama na Cameron......vipi ulitaka ionekane kwenye picha au? .
Huo uvaaji wa saa namna hiyo unaleta mashaka kwenye urijali...
Ngoja nisubiri tu kuke agrey kwa mwanangu dula ntapata za deal kwa kilo tano
Mkuu....hiyo saa umevaa kama wale jamaa wanaopigiwa debe na Obama na Cameron......vipi ulitaka ionekane kwenye picha au? .
Huo uvaaji wa saa namna hiyo unaleta mashaka kwenye urijali...
Kimenuka.
Habari zenu! Zile sim tulizokua tukisubiria kwa ham zishaingia kutoka hukooo zilipotengenezwa! Sio nyingine n SAMSUNG GALAXY S5, n bei chee sana kulingana na wanavyouza madukani! Madukan wanauza 1,700,000million (1.7m) ila sisi tunauza 1,500,000million (1.5m). Kwa wale watakaohitaji check me 0653 457659. Mnakaribishwa!
Hahahhahaahha....!! Aiseeee wananchi mbona mnaandamana sana..!! Kuna mtu kanifata inbox anasema kua hyo cm ina chakula, malazi na mke...???
Guardian na daily noise (isomeke news) ya tar 5 Aprili. Full pageGazeti lipi mkuu